johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kichwa Cha Habari Ndio mtazamo wa Gen Z wa nchi Jirani
Wanawaambia Bavicha kwamba Dunia ya Utandawazi haina Kususia Jambo lolote bali kulipambania kwa njia zile zile anazotumia adui ila kwa mbinu za " Ujana" zaidi
Gen Z wanasema Reforms wanazoomba Chadema wanataka zitengenezwe na CCM na hapo ndipo wanapofeli kabisaaa
Ahsanteni sana
Jumaa Mubarak 😀
Wanawaambia Bavicha kwamba Dunia ya Utandawazi haina Kususia Jambo lolote bali kulipambania kwa njia zile zile anazotumia adui ila kwa mbinu za " Ujana" zaidi
Gen Z wanasema Reforms wanazoomba Chadema wanataka zitengenezwe na CCM na hapo ndipo wanapofeli kabisaaa
Ahsanteni sana
Jumaa Mubarak 😀