Mkuu machawa wanasema wanamapenzi sana na mama na taifa. Sasa huo ndio muda sahihi wa kuonyesha kwa vitendo mapenzi yao mkuu.Machawa wa wanasiasa uwapeleke frontlines you must be joking 🙃 🤣🤣😅 !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu machawa wanasema wanamapenzi sana na mama na taifa. Sasa huo ndio muda sahihi wa kuonyesha kwa vitendo mapenzi yao mkuu.Machawa wa wanasiasa uwapeleke frontlines you must be joking 🙃 🤣🤣😅 !
Hahaa ni nchi gani yenye watu/raia/viongoz wote waadilifu?Kweni ni nani anaitii Serikali hapa Tanzania wakati hadi Mawaziri ni wapigaji ukiwauliza Wazanzibari wanakwambia wao sio Wabara wako Bara kuja kuchuma fedha.
Mtanzania ndio yuko mstari wa mbele kufungua vyuma vya reli na barabara kwenda kuvipima Screpa wewe unaonge utii gani?!
Kinachotakiwa ni UZALENDO.
Muhozi ni kichaa alie na cheo.JWTZ
Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.
Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.
Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.
Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.
Wito wangu kwenu!
1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.
2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizotumia rubani (UAV/Drones)
3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.
4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.
5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu pamoja na other protective gears (Mabuti mazuri na viatu vizuri vya kiaskari). Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927
View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
Afrika Mashariki saivi wao ndo wanaongoza kwa kuwavalisha kiunadhifu zaidi askari wao.Kijamaa kilikuwa kinacheka ile siku mnapitisha zana zenu za miaka ya 19 century. Sema Rwanda jeshi lao ni nazifu asee
Hapana huko ni parefu hawapawezi kabisa !Mkuu machawa wanasema wanamapenzi sana na mama na taifa. Sasa huo ndio muda sahihi wa kuonyesha kwa vitendo mapenzi yao mkuu.
Nchi kama Swiss huweki kukuta huu ujinga sisi huku asilimia kubwa sio Wazalendo unaweza kukuta mtu kama Issa Shivji ni Mzalendo kuliko Mzee wa Kigogo kutoka Bahi.Hahaa ni nchi gani yenye watu/raia/viongoz wote waadilifu?
Niambie hao waislam wazuri wako wapi. Mbona hatusikii carate, kungfu na judo vikifundishwa makanisani ila misikitini. Kama wanatumika eti sijui na matakataka gani Marekani, na Israel, mbona Marekani hawawatumii, wakatoliki, wasabato, walokole au WAKRISTO wowote ila ninyi waislam. Kwa nini mtumike kuua kama Quran yenu hairuhusu kuua ?Wale ADF siyo waislam wala. Ni waasi wa serikali ya Uganda ambao waliona ili kuimarisha shughuli zao wajiambatanishe na makundi mengine ya waasi kama ISIS, hivyo watapata silaha na kubadilishana uzoefu na vitu kama hivyo. Waislamu ni watu wazuri sana we hujui. Ngoja nikupe historia ya ISIS
Uku kukutana na JW kavaa suruali mpya afu koti lime pauka ni kawaida sanaAfrika Mashariki saivi wao ndo wanaongoza kwa kuwavalisha kiunadhifu zaidi askari wao.
Yaaani wanavalishwa vizuri haswa. Nguo nzuri, safi na viatu vizuri sana. Pia nguo zao zinaonekana kuwa za kisasa kweli (Military gears za kisasa kweli)
Hujawahi kusikia kuhusu waasi wa LRA wa Uganda kwa kirefu (the Lord's resistance army) kwa kiswahili itakuwa ni majeshi ya upinzani ya Bwana wanaongozwa na Joseph Kony. Hawapo mashariki ya Kongo kwa sababu shughuli zao zilikuwa kaskazini mwa Uganda hivyo wakizidiwa huwa wanakimbilia Sudan Kusini. Malengo yao ilikuwa kuipindua serikali ya rais Museveni na kuanzisha serikali mpya itakayotawala Uganda kwa kufuata Biblia. Soma habari zao na chimbuko lao mambo ya ulokole hayo na kuona maono na vitu kama hivyo.Niambie hao waislam wazuri wako wapi. Mbona hatusikii carate, kungfu na judo vikifundishwa makanisani ila misikitini. Kama wanatumika eti sijui na matakataka gani Marekani, na Israel, mbona Marekani hawawatumii, wakatoliki, wasabato, walokole au WAKRISTO wowote ila ninyi waislam. Kwa nini mtumike kuua kama Quran yenu hairuhusu kuua ?
Waliisumbua sana serikali ya Uganda. Japo walizidiwa nguvu na majeshi ya serikali na wanaonekana siyo tishio siku hizi. Ila hawakumalizwa wote na Joseph Kony mpaka leo hajakamatwa.Hujawahi kusikia kuhusu the waasi wa LRA wa Uganda kwa kirefu (the Lord's resistance army) kwa kiswahili itakuwa ni majeshi ya upinzani ya Bwana wanaongozwa na Joseph Kony. Hawapo mashariki ya Kongo kwa sababu shughuli zao zilikuwa kaskazini mwa Uganda hivyo wakizidiwa huwa wanakimbilia Sudan Kusini. Malengo yao ilikuwa kuipindua serikali ya rais Museveni na kuanzisha serikali mpya itakayotawala Uganda kwa kufuata Biblia. Soma habari zao ni chimbuko lao mambo ya ulokole hayo na kuona maono na vitu kama hivyo.
Mkuu usiwa under estimate mkuu maana wale inaelekea ni ma jack of many trades. Wanajua uchumi, siasa, uongozi, marketing na kila kitu hata kama hawajasoma. So bila shaka huenda wana mbinu za kijeshi na kipolisi mkuu. Utakuwa muda sahihi wa kuonyesha mapenzi kwa taifa hili.Hapana huko ni parefu hawapawezi kabisa !
Labda kububujikwa na machozi ya furaha hapo sawa 😳👍
Wengine ni IRA wa Ireland walikuwa waasi waliotaka Ireland ijitenge na UK. Walifanikiwa kwa kiasi kwa maana southern Ireland siku hizi ni nchi nyingine inaitwa republic of Ireland lakini nothern Ireland ndiyo bado ipo chini ya UK.Niambie hao waislam wazuri wako wapi. Mbona hatusikii carate, kungfu na judo vikifundishwa makanisani ila misikitini. Kama wanatumika eti sijui na matakataka gani Marekani, na Israel, mbona Marekani hawawatumii, wakatoliki, wasabato, walokole au WAKRISTO wowote ila ninyi waislam. Kwa nini mtumike kuua kama Quran yenu hairuhusu kuua ?
Siku hizi wazungu ndio hawataki tena kusali japo siyo wote. Ila enzi hizo za vita ya kujitenga walikuwa wanapenda kusaliWengine ni IRA wa Ireland walikuwa waasi waliotaka Ireland ijitenge na UK. Walifanikiwa kwa kiasi kwa maana southern Ireland siku hizi ni nchi nyingine inaitwa republic of Ireland lakini nothern Ireland ndiyo bado ipo chini ya UK.
Malengo yao yalikuwa yakisiasa ndiyo ila kulikuwa na udini ndani yake. Ireland wao ni wakatoliki tofauti na UK ambao wao ni wa Anglikana.
Usiwaogope waislam ni watu waungwana sana. Dunia ina waislamu zaidi ya bilioni moja wangekuwa wabaya pasingekalika.Niambie hao waislam wazuri wako wapi. Mbona hatusikii carate, kungfu na judo vikifundishwa makanisani ila misikitini. Kama wanatumika eti sijui na matakataka gani Marekani, na Israel, mbona Marekani hawawatumii, wakatoliki, wasabato, walokole au WAKRISTO wowote ila ninyi waislam. Kwa nini mtumike kuua kama Quran yenu hairuhusu kuua ?
Umri huu tena,, nawajua wote. Ila sikuwahi hata moja kusikia wanawalenga waislam. Ni magonvi yao kisiasa tu. Tofauti na magaidi ya kiislam wanafurahia wanalenga na wanapanga kuuwa WAKRISTO tu.Hujawahi kusikia kuhusu waasi wa LRA wa Uganda kwa kirefu (the Lord's resistance army) kwa kiswahili itakuwa ni majeshi ya upinzani ya Bwana wanaongozwa na Joseph Kony. Hawapo mashariki ya Kongo kwa sababu shughuli zao zilikuwa kaskazini mwa Uganda hivyo wakizidiwa huwa wanakimbilia Sudan Kusini. Malengo yao ilikuwa kuipindua serikali ya rais Museveni na kuanzisha serikali mpya itakayotawala Uganda kwa kufuata Biblia. Soma habari zao na chimbuko lao mambo ya ulokole hayo na kuona maono na vitu kama hivyo.
Wao LRA hawachagui dini wanaua wanakijiji wowote waliokaa kizembezembe tu. Na hata waasi wanaotumia dini ya kiislamu kueneza propaganda zao huwa wanaua waislamu wenzao ambao hwafuati hizo itikadi zao. Fuatilia vizuri. Mfano mzuri ni wale jamaa wa kibitiUmri huu tena,, nawajua wote. Ila sikuwahi hata moja kusikia wanawalenga waislam. Ni magonvi yao kisiasa tu. Tofauti na magaidi ya kiislam wanafurahia wanalenga na wanapanga kuuwa WAKRISTO tu.
Wa Kibiti, Tanga na Kidatu Morogoro, ndiyo walikuwa wanaanza, wasingedhibitiwa na Serikali yetu imara, makanisa yangechomwa kama walivyoanza Zanzibar na Bukoba.Wao LRA hawachagui dini wanaua wanakijiji wowote waliokaa kizembezembe tu. Na hata waasi wanaotumia dini ya kiislamu kueneza propaganda zao huwa wanaua waislamu wenzao ambao hwafuati hizo itikadi zao. Fuatilia vizuri. Mfano mzuri ni wale jamaa wa kibiti