Aliekuwa kiongozi wa kundi la waasi la FDLR, General OMEGA, siku za nyuma, baada ya handaki aliyokuwemo na wenzake kulipuliwa na M23, na kusababisha vifo vya badhi ya walinzi wake, na kuhisiwa kuwa na yeye amefia katika shambulio hilo, alikamatwa na M23 na kuhifadhiwa kwa siri kubwa.
Msemaji mkuu(kaimu), Dr. Oscar Barinda, ametangaza kwamba, M23 inae, na wapo kwenye maandalizi ya kumkabidhi serikali ya Rwanda.
Msemaji mkuu(kaimu), Dr. Oscar Barinda, ametangaza kwamba, M23 inae, na wapo kwenye maandalizi ya kumkabidhi serikali ya Rwanda.