Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
Generation Z ni kizazi kisichotaka mambo mengi kwenye maisha, mfano nimekutana na hiki kipande cha mchekeshaji Chard Talent akiweza kuimba kwenye beat iliyopigwa kwa kutumia Guitar na msanii Hamis BSS. Binafsi nimegundua Chard Talent pia kwenye mziki yuko vizuri.
Chard Talent amenata na beat vizuri sana ukiongezea na mashahiri ambayo ametumia maswaibu ya kila siku kwenye jamii zetu mfano demu kula nauli, pyramid scheme ya tafuta wenzakk wawili uwe tajiri, demu kumnunulia msosi akakaza kutoa Mbususu na melody iloyokuwa nzuri, Huku Hamis BSS akipiga Guitar kwa mbali.
View: https://youtu.be/u1b0VyVKJiI?si=i-5nzansbUqtZruK
Chard Talent amenata na beat vizuri sana ukiongezea na mashahiri ambayo ametumia maswaibu ya kila siku kwenye jamii zetu mfano demu kula nauli, pyramid scheme ya tafuta wenzakk wawili uwe tajiri, demu kumnunulia msosi akakaza kutoa Mbususu na melody iloyokuwa nzuri, Huku Hamis BSS akipiga Guitar kwa mbali.
View: https://youtu.be/u1b0VyVKJiI?si=i-5nzansbUqtZruK