Generator ya TANESCO Mtwara kwani ile Diesel wanayotumia ni ghali

Generator ya TANESCO Mtwara kwani ile Diesel wanayotumia ni ghali

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Nafikiri ipo haja ya kuwaunga kwenye grid kama bado, kwani ile Diesel wanayotumia ni ghali sana ukilinganisha na gharama za umeme wa maji.
Katika kipindi cha mahojiano Radio one jioni hii; Naibu waziri mkuu alituambia kuwa Generator inayotumika kuzalisha umeme ukanda huo inatumia lita za Diesel 36,000 kwa siku (24hrs) inamaana hiyo generator inatumia lita za Diesel 25 kwa dakika moja?
 
Inazalisha MW ngapi ?

Diesel generators can produce anywhere from 1 to 10 kilowatt-hours of electricity per gallon of diesel fuel. One kWh equals 3,412 BTUs (British Thermal Units), so one gallon of fuel produces 3,412 BTUs x 0.42 = 1,285 BTUs. However, if you use an efficient generator with an average load that produces electricity at a constant speed, it will take about 0.4 litre or 0.105 gallons to produce 1kWh.
 
Mtwara umeme bado sana aisee Tena Bora hapo Mtwara manispaa Kuna nafuu kuliko huko Masasi na wilaya zingine umeme kwao bado ni kama anasa,haiwezi kupita siku bila kukata Tena siku nyingine hutokea power outage kutwa nzima bila sababu za msingi
 

Attachments

  • IMG-20250120-WA0010.jpg
    IMG-20250120-WA0010.jpg
    52.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250120-212700.png
    Screenshot_20250120-212700.png
    849.6 KB · Views: 2
Mtwara umeme bado sana aisee Tena Bora hapo Mtwara manispaa Kuna nafuu kuliko huko Masasi na wilaya zingine umeme kwao bado ni kama anasa,haiwezi kupita siku bila kukata Tena siku nyingine hutokea power outage kutwa nzima bila sababu za msingi
Wewe bila shaka ni Mtumishi wa Tanesco hapo Masasi karibu na Stand kuu😁
Mkuu nitafutie nyumba full ya kupanga hapo mjini nakuja Masasi kuhamia kikazi
 
Wewe bila shaka ni Mtumishi wa Tanesco hapo Masasi karibu na Stand kuu😁
Mkuu nitafutie nyumba full ya kupanga hapo mjini nakuja Masasi kuhamia kikazi
Hapana mkuu Mimi siyo mtumishi wa tanesco Bali ni mhanga wa huduma mbovu ya umeme usiotosha kuwasha hata fridge kwani nimewekeza huko ila naambulia hasara ya pesa na mali..Nyumba ya sh ngapi nikuunganishe na mtu chap Mimi siko huko Kwa Sasa mkuu
 
Back
Top Bottom