Jiwe haogopi mtu; hata mkimwita ICC haji.
UN ni nini kwake bana!!
Wacha tuone ujeuri huu mwisho wake ni upi..
Navyojua mimi UN inaweza kutoa warrant ya makachero wao kuja kupeleleza sintofahamu zote kabla na baada ya ychaguzi.... Je ataweza kuwazuia makachero hao wa kimataifa kuingia nchini??
Muda ni rafiki wa kweli.
UN ni nini kwake bana!!
Wacha tuone ujeuri huu mwisho wake ni upi..
Navyojua mimi UN inaweza kutoa warrant ya makachero wao kuja kupeleleza sintofahamu zote kabla na baada ya ychaguzi.... Je ataweza kuwazuia makachero hao wa kimataifa kuingia nchini??
Muda ni rafiki wa kweli.