Uchaguzi 2020 Geneva: UN Rights Chief disturbed by harassment of opposition following Tanzania elections

Uchaguzi 2020 Geneva: UN Rights Chief disturbed by harassment of opposition following Tanzania elections

Jiwe haogopi mtu; hata mkimwita ICC haji.

UN ni nini kwake bana!!

Wacha tuone ujeuri huu mwisho wake ni upi..

Navyojua mimi UN inaweza kutoa warrant ya makachero wao kuja kupeleleza sintofahamu zote kabla na baada ya ychaguzi.... Je ataweza kuwazuia makachero hao wa kimataifa kuingia nchini??

Muda ni rafiki wa kweli.
 
Hao ni mabeberu tu!
Chief wa United Nation ni beberu.. ha ha ha

Mntamponza baba yenu bure!! aweke record ya kuwa Rais wa kwanza Tanzania kuburuzwa ICC.

Usicheze na chief wa UN aisee!! Vichezeeni hivi vi taasisi vya Africa ila siyo UN.
 
Chief wa United Nation ni beberu.. ha ha ha

Mntamponza baba yenu bure!! aweke record ya kuwa Rais wa kwanza Tanzania kuburuzwa ICC.

Usicheze na chief wa UN aisee!! Vichezeeni hivi vi taasisi vya Africa ila siyo UN.
Huko alikokuwepo Asha Migiro!!!
 

High Commissioner for Human Rights Michelle Bachelet: Engaging parliaments in promoting human rights


A message from the United Nations High Commissioner for Refugees,Michelle Bachelet for the webinars on Engaging parliaments on the promotion of human rights including on the work of the Human Rights Council and its Universal Periodic Review (UPR), held on 13-14 July 2020. The webinars were organized by the IPU, the Commonwealth Secretariat (ComSec) and the Office of the United Nations High Commissioner for Human Rights (OHCHR), and were aimed at parliaments of Africa, Europe, the Caribbean and Canada, and Members of the Commonwealth.
 
Waambieni kina Lema, Mbowe, Lisu na wote wa aina yao waondoke wahamie huko.
Ni ajabu kwamba unafurahi kuona Rais wenu anawekwa kundi moja na mafashisti Hatari kabisa kuwahi kutokea duniani, akina Idi Amini, Bokassa na Marcias Nguema...kundi la Madikteta wala nyama za watu

Reminder: hao wote waliachwa waue na kula nyama za watu kwa kipindi flan tu, lkn kilichowapata kinajulikana, Unless wewe ni Mjinga na dikteta naye ni Mjinga
 
Ni ajabu kwamba unafurahi kuona Rais wenu anawekwa kundi moja na mafashisti Hatari kabisa kuwahi kutokea duniani, akina Idi Amini, Bokassa na Marcias Nguema...kundi la Madikteta wala nyama za watu

Reminder: hao wote waliachwa waue na kula nyama za watu kwa kipindi flan tu, lkn kilichowapata kinajulikana, Unless wewe ni Mjinga na dikteta naye ni Mjinga
Hilo ni tamko tu Kama matamko mengine ili tujue wapo na wapate mishahra
Bila violence hilo shirika linakufa
Mila nchi ina Uhuru wake na sheria zake, hiyo ni kanuni ya UN
 
Hilo ni tamko tu Kama matamko mengine ili tujue wapo na wapate mishahra
Bila violence hilo shirika linakufa
Mila nchi ina Uhuru wake na sheria zake, hiyo ni kanuni ya UN
Sawa, pambaneni nao...na bila violence huyo Kilaza wenu haimpendezi kutawala? Why is He So eager to kill his people?
 
Sawa, pambaneni nao...na bila violence huyo Kilaza wenu haimpendezi kutawala? Why is He So eager to kill his people?
Huu ni mwaka wa nne mnatuletea ngonjera za watu kuuawa!
Hata makaburi hayaonekani!
Tiini mamlaka ndugu, hilo ni agizo la Mungu mwenyewe
 
Tumekaribia Kukucha!!!!! Ngoma ikilia saaana Upasuka...hata All Bashir wa Sudan na yule Jamaa wa Libya watu wake waliona Haitawezekana lakini wale Mabwana wakikutaka, Hauna ujanja.. Tusubiri... China hajawahi Kuwa Rafiki wa Kutegemewa toka dunia hii iumbwe na Allah!!!!
 
Huu ni mwaka wa nne mnatuletea ngonjera za watu kuuawa!
Hata makaburi hayaonekani!
Tiini mamlaka ndugu, hilo ni agizo la Mungu mwenyewe
Makaburi yataonekana wapi kama huyo Shetani wenu anaua watu kwa mikono yake mwenyewe na kula nyama zao, na kunywa damu zao? Ben Saanane yuko Wapi, Azory Gwanda yuko Wapi, Alphonce Mawazo yuko Wapi, Akwilina yuko Wapi, Kanguye yuko wapi?

Damu ya Lissu iliyomwagika Dodoma nasikia aliagiza apelekewe japo mchanga wenye damu aunuse...Nyerere alishaSema Kiongozi akishakula nyama za watu wake hataacha kula!
 
Africa ukiisha ingia madarakani hutoki, hata hakuna wa kukutoa.

Hawana uwezo wa kukutoa na hawana mpango wa kukutoa hata kama uliingia kwa kupindua serikali halali.

Hao wanaokuwa disturbed wataendelea kuwa disturbed lakini hawana cha kukufanya.

Hivyo hizi ni hadithi tu kama za hadithi zingine.
 
Makaburi yataonekana wapi kama huyo Shetani wenu anaua watu kwa mikono yake mwenyewe na kula nyama zao, na kunywa damu zao? Ben Saanane yuko Wapi, Azory Gwanda yuko Wapi, Alphonce Mawazo yuko Wapi, Akwilina yuko Wapi, Kanguye yuko wapi?

Damu ya Lissu iliyomwagika Dodoma nasikia aliagiza apelekewe japo mchanga wenye damu aunuse...Nyerere alishaSema Kiongozi akishakula nyama za watu wake hataacha kula!
Unabwabwaja tu hata ushahidi huna
Kwa hiyo hata Chacha Wangwe au Mtikila wameuawa na serikali?

Hizo ni hasira za kushindwa ambazo hazitawasaidia
 
Jiwe haogopi mtu; hata mkimwita ICC haji.

UN ni nini kwake bana!!

Wacha tuone ujeuri huu mwisho wake ni upi..

Navyojua mimi UN inaweza kutoa warrant ya makachero wao kuja kupeleleza sintofahamu zote kabla na baada ya ychaguzi.... Je ataweza kuwazuia makachero hao wa kimataifa kuingia nchini??

Muda ni rafiki wa kweli.

hahahaha hata wakija wafanye uchunguzi wote wanaoutaka, tunaweza jitoa and its fine, UN haitungi sheria za nchi yoyote ndo maaana hata trump aliwafukuza USA na ikawa freshi tu, There is nothing they can do, kuna nchi za kuonea afrika ila sio tanzania labda uwaonee kiuchumi ila kiuongozi ccm peke yake ndo afrika!
 
Back
Top Bottom