Uchaguzi 2020 Geneva: UN Rights Chief disturbed by harassment of opposition following Tanzania elections

hakikisheni kwenye report za ICC mnawataja na hawa pia, alafu msubiri majibu wekeni na lissu pia maaana hana mguu
 
kwani trump ss hv yupo wapi?
 

Hii ni habari njema sana. Dunia itatuelewa tu.

Lissu anaporudi ulaya kukinukisha salama kutokea huko nasi hatutapumzika. Tutabanana hapa hapa.

Kitaeleweka tu!
 
Hao vibaraka wao lazima waheshimu sheria zetu lasivyo wahamie kwao kama msaliti Lissu alivyoondoka leo kuelekea kwa Mabwana zake Ubelgiji.
 
Hao jamaa hua wanaanza kama wanakubembeleza kiaina.hawanaga papara
 
Hao wote uliowataja elezea vifo vyao vilikuwaje na utoe ushahidi jinsi matukio yalivyokuwa na maeneo waliyokuwepo na nini sababu za vifo hivyo.,na kama uliona askari huyo alieua CDM walichukua hatua gani ?
 
Inatakiwa rais wetu atafsiriwe, maana atakuwa ametoka kapa hapo
Sidhani hata kama anahitaji kujua hayo maana hayamhusu na hayana muda kwake.
Yeye anafanya kazi za wananchi wa Tanzania
 
Ongeeni vyote...kuna watu na mambo manne yatakayotufanya tuangamie ,tugawanyike vpand vpand
!!
1:Mk/ Nchi.

2:J/W

3.J/!Please

4:W/nchi.

Siku nyingine ntaeleza kila kimoja na uhusika wake!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
USA wenyewe wanaogopa huko ICC mpaka waliwapiga marufuku waendesha mashitaka kuingia marekani, hata sisi tunaweza juwapiga marufuku waachane na sisi kisha tunajitoa.
Mavi ya kuku. Li taifa lisilo na kiwanda hatacha kutengeneza sindano za mkono. Asilimia zaidi ya 50 ya budget tunategemea kupewa. Wanauwezo hata wa kumtia mimba huyo mhutu wenu.
 
Under international law, there is a presumption in favour of considering assemblies to be peaceful, the High Commissioner stressed.*
There are those who criticize TANZANIA but those who take action are not yet born !! For everyone who raises his mouth on TANZANIA, Heaven will not remain silent about it

Wajaribu waone!!!
 

Nani aliyekuwa harrassed? Mbona wanahangaika sana na Tanzania iliyotulia tuli.
 
Asanteni UN, HR ,wale wajinga na washamba wasikie.Umoja,ustawi na furaha ya maisha ni haki yetu sote.
There are those who criticize TANZANIA but those who take action are not yet born !! For everyone who raises his mouth on TANZANIA, Heaven will not remain silent about it
Watasema Ila mwisho wake watalala
 
Mavi ya kuku. Li taifa lisilo na kiwanda hatacha kutengeneza sindano za mkono. Asilimia zaidi ya 50 ya budget tunategemea kupewa. Wanauwezo hata wa kumtia mimba huyo mhutu wenu.
Jinga kabisa wewe hata hujui kwa sasa tunategemea kiasi gani cha msaada kwenye badgets,
Tangu magufuli aingie tumetoka %40 na kitu hadi %14 kwa sasa wewe bado unawaza ujinga wa miaka ya nyuma?
Na ndio maana Magu anataka tujitegemee wenyewe na sio kuomba omba kama mawazo ya mgombea wenu aliyokuja nayo, eti hatuwezi kuishi bila misaada.
Huyo anapenda kulishwa wacha akaolewe huko na hao waliomsindikiza.

Wajinga kama nyie ambao hata mkitoka shule hamshughulishi akili zenu bali mnamuachia Lisu ndo aziongoze ni lini mtapata idea hata ya kubuni hicho kiwanda ili mtengeneze hizo sindano na ajira?
Mmeaminishwa kuwa ajira zote lazima zitoke serikarini badalabya kuanzisha zenu.

Tazama Lema leo kashindwa ubunge hajui atafanya nini mtaani na madeni aliyonayo, sasa anaenda kuficha aibu huko ukimbizini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…