Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Rwanda kafukuza ILO na hakuna cha ICC wala mkwe wa ICC endeleeni kungoja meli airportSisi viongozi wetu wa Tanzania wametawaliwa na "UBISHI/KIBURI" cha kijinga sana. Hivi wanavyojifanya wehu wa kuelewa muda si mrefu watayapata wanayotaka.
UN Comission Of Human Right" ndio aliokua anasubiriwa kutoa tamko la mwisho. Sasa kazi inakaribia kuanza.
Usikose kufuatilia Episode ijayo ya "Mahakama Ya Kimataifa Ya Makosa Ya Jinai ICC".
Nyie tunajua ni wapemba wa Magufuli na pengine ni wale wapwa zake mnaofadika na hali iliyopo hivyo ni lazima muombee hali indelee ilivyo ili mzidi kufaidika. Lakini kumbukeni mamilioni ya watanzania ndiyo wanaumia na kufariki kutokana na ujinga wenu na siyo Lema wala Lissu.Waambieni kina Lema, Mbowe, Lisu na wote wa aina yao waondoke wahamie huko.
Hivi wewe nawe ni wa kuita mtu mjinga? Unakuwa kama diktekta uchwara anapenda kuita wengine vilaza wakati yeye ndiyo kilaza namba moja! Unazungumzia Tanzania kutegemea wakati asilimia kubwa ya mambo yetu yanaendeshwa kwa msaada? Idiot!Jinga kabisa wewe hata hujui kwa sasa tunategemea kiasi gani cha msaada kwenye badgets,
Tangu magufuli aingie tumetoka %40 na kitu hadi %14 kwa sasa wewe bado unawaza ujinga wa miaka ya nyuma?
Na ndio maana Magu anataka tujitegemee wenyewe na sio kuomba omba kama mawazo ya mgombea wenu aliyokuja nayo, eti hatuwezi kuishi bila misaada.
Huyo anapenda kulishwa wacha akaolewe huko na hao waliomsindikiza.
Wajinga kama nyie ambao hata mkitoka shule hamshughulishi akili zenu bali mnamuachia Lisu ndo aziongoze ni lini mtapata idea hata ya kubuni hicho kiwanda ili mtengeneze hizo sindano na ajira?
Mmeaminishwa kuwa ajira zote lazima zitoke serikarini badalabya kuanzisha zenu.
Tazama Lema leo kashindwa ubunge hajui atafanya nini mtaani na madeni aliyonayo, sasa anaenda kuficha aibu huko ukimbizini.
Mfateni Lisu msitusumbue humu, mwenzenu kasepa nanyi nendeni msituchafulie mazingira.Hivi wewe nawe ni wa kuita mtu mjinga? Unakuwa kama diktekta uchwara anapenda kuita wengine vilaza wakati yeye ndiyo kilaza namba moja! Unazungumzia Tanzania kutegemea wakati asilimia kubwa ya mambo yetu yanaendeshwa kwa msaada? Idiot!
Hata kama wewe ni mpwa wa diktekta uchwara lakini huwezi kunipangia ni nini cha kufanya. Mazingira anachafua huyo mshamba diktekta asiyejua ni nini maana ya uchaguzi! Anadhani kina mwalimu Nyerere walikuwa wanashindwa kuiba kura kishamba namna hii? Halafu kuna wajinga walikuwa wanamfananisha na Nyerere! Ni kama kufananisha uharo na dhahabu!Mfateni Lisu msitusumbue humu, mwenzenu kasepa nanyi nendeni msituchafulie mazingira.
Kama mshamna ana ku control wewe mjamja basi wewe ni mshamba zaidi tena mpumbavu zaidiHata kama wewe ni mpwa wa diktekta uchwara lakini huwezi kunipangia ni nini cha kufanya. Mazingira anachafua huyo mshamba asiyejua ni nini maana ya uchaguzi!
Poor usMkuu spana zenye uzito wa tani 20 per pc tayari zinaandaliwa ....
Dunia hii ina washamba wengi wamewahi kuwa viongozi. Kina Idi Amin waliweza kuwa marais. Kuwa rais hakuonyeshi kuwa wewe ni mjanja. Inawezekana kabisa kuwa wewe ni muuaji na umefika kwenye hiyo nafasi kwa sababu ya uuaji wako.Kama mshamna ana ku control wewe mjamja basi wewe ni mshamba zaidi tena mpumbavu zaidi
Ungekua mjanja usingeongozwa na mshamba.
Narudia mfuate Tobo lisu mkale kwa jasho lenu huko kwa beberu.
Even Trump is disturbed by the election outcome....OHCHR | UN rights chief disturbed by harassment of opposition following Tanzania elections
GENEVA (10 November 2020) – UN High Commissioner for Human Rights Michelle Bachelet on Tuesday said she was disturbed by reports of continued intimidation and harassment against opposition leaders and members in Tanzania in the aftermath of the general elections. She called on the authorities to ensure people are able to express their grievances without fear of reprisals.
Reports indicate that at least 150 opposition leaders and members have been arrested since 27 October in mainland Tanzania and in Zanzibar. While most have been subsequently released, at least 18 reportedly remain in custody.&
Police officials have stated that the individuals arrested were planning violent protests. Police officials warned publicly on 31 October 2020 that they would not allow protests to go ahead, citing alleged plans to cause chaos, and they threatened to use force and detain anyone taking part in demonstrations.
"The tense situation in the country will not be defused by silencing those who challenge the outcome of the elections, but rather through a participatory dialogue," Bachelet said. "I urge the Tanzanian authorities to respect and facilitate exercise of the rights to freedom of expression and of peaceful assembly."
The High Commissioner called for the immediate release of those detained for exercising their human rights. She called on the Government of Tanzania to ensure that security forces and law enforcement officials act according to the rule of law and human rights norms and standards.
Under international law, there is a presumption in favour of considering assemblies to be peaceful, the High Commissioner stressed.*
These developments follow reported pre-election intimidation and harassment of civil society organisations and journalists, as well as allegations of police brutality against opposition members and supporters on the day of the election. Bachelet called for prompt, thorough, independent and impartial investigations into all allegations of human rights violations before, during and after the polls – particularly into the killing of at least 10 people and the injuries sustained by over 50 others in Zanzibar on 26 October.
The High Commissioner also expressed concern at Internet restrictions, including the blocking of many social media and messaging platforms, and the censoring of election-related content.
"Free flow of information is critical to any democratic society, and especially so in an electoral context," the High Commissioner said, adding that any restrictions on information and communication technology must be in line with international human rights laws and standards.
ENDS
* For details, see General Comment No. 37 on Article 21 of the International Covenant on Civil and Political Rights – Right of peaceful assembly:& https://www.ohchr.org/EN/HRBodies/CCPR/Pages/GCArticle21.aspx
For more information and media requests, please contact: Rupert Colville -& + 41 22 917 9767 / rcolville@ohchr.org or Ravina Shamdasani - + 41 22 917 9169 / rshamdasani@ohchr.org or Liz Throssell - + 41 22& 917 9296 / ethrossell@ohchr.org or Marta Hurtado - + 41 22& 917 9466 /& mhurtado@ohchr.org
Tag and share -& Twitter:& @UNHumanRights& and Facebook:& unitednationshumanrights
View attachment 1623412
Ile PhD haimsaidii kung'amua chochote?!Inatakiwa rais wetu atafsiriwe, maana atakuwa ametoka kapa hapo
Dogo, ulikuwepo?Mbona hawakupiga kelele waafrika walivyokuwa wakiuliwa na Wazungu
Thibutu... unajua yaliyomsibu rais wa Panama, MANUEL NORIEGA?USA wenyewe wanaogopa huko ICC mpaka waliwapiga marufuku waendesha mashitaka kuingia marekani, hata sisi tunaweza juwapiga marufuku waachane na sisi kisha tunajitoa.
Mbona hawakupiga kelele waafrika walivyokuwa wakiuliwa na Wazungu
One World Order....Chief wa United Nation ni beberu.. ha ha ha
Mntamponza baba yenu bure!! aweke record ya kuwa Rais wa kwanza Tanzania kuburuzwa ICC.
Usicheze na chief wa UN aisee!! Vichezeeni hivi vi taasisi vya Africa ila siyo UN.
Wataweza kweli?? Hata wakiungana?? Nchi yetu ku itukana?? Magufuli baba lao...yan huko vina wapwita hadi basiOHCHR | UN rights chief disturbed by harassment of opposition following Tanzania elections
GENEVA (10 November 2020) – UN High Commissioner for Human Rights Michelle Bachelet on Tuesday said she was disturbed by reports of continued intimidation and harassment against opposition leaders and members in Tanzania in the aftermath of the general elections. She called on the authorities to ensure people are able to express their grievances without fear of reprisals.
Reports indicate that at least 150 opposition leaders and members have been arrested since 27 October in mainland Tanzania and in Zanzibar. While most have been subsequently released, at least 18 reportedly remain in custody.&
Police officials have stated that the individuals arrested were planning violent protests. Police officials warned publicly on 31 October 2020 that they would not allow protests to go ahead, citing alleged plans to cause chaos, and they threatened to use force and detain anyone taking part in demonstrations.
"The tense situation in the country will not be defused by silencing those who challenge the outcome of the elections, but rather through a participatory dialogue," Bachelet said. "I urge the Tanzanian authorities to respect and facilitate exercise of the rights to freedom of expression and of peaceful assembly."
The High Commissioner called for the immediate release of those detained for exercising their human rights. She called on the Government of Tanzania to ensure that security forces and law enforcement officials act according to the rule of law and human rights norms and standards.
Under international law, there is a presumption in favour of considering assemblies to be peaceful, the High Commissioner stressed.*
These developments follow reported pre-election intimidation and harassment of civil society organisations and journalists, as well as allegations of police brutality against opposition members and supporters on the day of the election. Bachelet called for prompt, thorough, independent and impartial investigations into all allegations of human rights violations before, during and after the polls – particularly into the killing of at least 10 people and the injuries sustained by over 50 others in Zanzibar on 26 October.
The High Commissioner also expressed concern at Internet restrictions, including the blocking of many social media and messaging platforms, and the censoring of election-related content.
"Free flow of information is critical to any democratic society, and especially so in an electoral context," the High Commissioner said, adding that any restrictions on information and communication technology must be in line with international human rights laws and standards.
ENDS
* For details, see General Comment No. 37 on Article 21 of the International Covenant on Civil and Political Rights – Right of peaceful assembly:& https://www.ohchr.org/EN/HRBodies/CCPR/Pages/GCArticle21.aspx
For more information and media requests, please contact: Rupert Colville -& + 41 22 917 9767 / rcolville@ohchr.org or Ravina Shamdasani - + 41 22 917 9169 / rshamdasani@ohchr.org or Liz Throssell - + 41 22& 917 9296 / ethrossell@ohchr.org or Marta Hurtado - + 41 22& 917 9466 /& mhurtado@ohchr.org
Tag and share -& Twitter:& @UNHumanRights& and Facebook:& unitednationshumanrights
View attachment 1623412
Usipotoshe watuHuu ni mwaka wa nne mnatuletea ngonjera za watu kuuawa!
Hata makaburi hayaonekani!
Tiini mamlaka ndugu, hilo ni agizo la Mungu mwenyewe
Magufuli ni idi amini wa taifa kwanini mnaoligawa taifa?Waambieni kina Lema, Mbowe, Lisu na wote wa aina yao waondoke wahamie huko.