Uchaguzi 2020 Geneva: UN Rights Chief disturbed by harassment of opposition following Tanzania elections

Hao UN wamesikia ya Marekani? Wametoa tamko au ndo huwezi kata mkono unaokulisha.
 
Jwtz iangalieni ccm kwa uzalendo wa kinafiki Mimi Kama mzalendo nawatahadharisha
 
Jwtz ijiangalie je icase ikalazimika kuzichapa kivita halisi mpaka wa namanga au tunduma au karagwe mnatoboa? Hapa mtaona ubaya wa kuweka masisiem na kuyalinda masisiem kwenye mipaka ya nchi .
 
mmeweka maccm mipakani kwa ngugu jwtz msichokoze mtiti kipindi hiki mtasalitiwa asubuhi.
 
Tanzania is the Independent country, cannot be intervened by any organisation for its internal matters, so that illigal attempt to intervene her internal freedom is against international laws. We could easily condemned for any false information supplied to the international organizations for any hidden reasons.
 
Jwtz mkitaka muone kwamba CCM imeshinda kihalali uchaguzi anzisheni mtiti na nchi yoyote Kati ya nchi 9 zinazotuzunguja mkishinda Vita basi CCM inapendwa.
 
Hidden reasons while you have forcefully rigged up the election. ..... How comes ccm won mbeya arusha mara ubungo etc
 
You can swallow your spits,,,, we don't the implants Keep only one thing in your mind if you have,,, Your people,, the so called oppositions have been vehemently rejected by the majority Tanzanians who are now very wide awake,,, take them to Europe and give them nationalities and humane benefits simple LEAVE TANZANIAN ALONE
 
Waambieni kina Lema, Mbowe, Lisu na wote wa aina yao waondoke wahamie huko.
Just simple as that, waende hata muda huu, abaki mzee wa ubwabwa ale ruzuku mpaka kipara kipotee
 
Aibu yenu na dikteta wenu-
 
Mbona hawakupiga kelele waafrika walivyokuwa wakiuliwa na Wazungu
Nchi gani,lini,wazangu gani? Waafrika gani?..

Be specifically please..

Free Mazrui, and all Political prisoners
 
Sio kibaraka, kuna mikataba muhimu duniani ilishakuwa signed, sasa kama tuli sign kwa nini tunaenda kinyume.Tena mikataba yenyewe ni muhimu sana.
Tazama kilichofanyika katika uchaguzi.
Hawa wapuuzi wakiachwa achwa na kushabikiwa kwa staili za "magonjwa mtambuka" na crimea tutaumizana sana.
Mijamaa haiheshimu rule law, kitakachofuatia ni dhulma na kukandamizana, na hakutakuwa na wa kuhoji.
***ngoja uone nyongeza za mshahara kama zitazidi 30,000/- kwa hawa ea cadre za kawaida
***Private sector itakuwa lakini kwa kudumaa "increasing at decreasing rate"....
Yote haya kwa sababu kule ndani kutakuwa na kauli za dizaini hii:-
" kwa kweli tuangalie kidogo hili suala kwa kiasi fulani kidogo lakini kikubwa linamuumiza mwananchi wa chini, najua serikali yetu nyenyekevu na sikivu italifanyia kazi,NAWEKA SHILINGI"
"Jambo hili litawapa shida wananchi, lakini.....NAUNGA MKONO HOJA"
 
Hahaha, unamjibu kama anasoma vile, hakukuwa na vehemently rejection.
Keep your finger in your butt hole,shake your ass three times to signify "councillors, MPs and Prez votes" then smell it, what your nose detect is the "2020 General election aroma".
 
Chief wa United Nation ni beberu.. ha ha ha

Mntamponza baba yenu bure!! aweke record ya kuwa Rais wa kwanza Tanzania kuburuzwa ICC.

Usicheze na chief wa UN aisee!! Vichezeeni hivi vi taasisi vya Africa ila siyo UN.
Acheni kujifariji. Maandamano nlini?
 
Huu ni mwaka wa nne mnatuletea ngonjera za watu kuuawa!
Hata makaburi hayaonekani!
Tiini mamlaka ndugu, hilo ni agizo la Mungu mwenyewe
Mamlaka iliyoingia kwa kura za kygushi? au unasema mamlaka iliyochaguliwa na nani?
 
= Zero brain. Leaders obtained by fake vote!!?? What do you mean you empty headed??
 
Waambieni kina Lema, Mbowe, Lisu na wote wa aina yao waondoke wahamie huko.
Unatoa bogus comments kwa sababu muono wako ni finyu na akili yako inaona hapo ulipo. Haya majibu marahisi unayotoa hapa hayatakisaidia Chama chako. muulize kenyatta na ruto, alibashiri, Gharbo, Charles tailor, marehemu Milosovich nk. ujue JPM is not exceptional
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana mkuu! Hii ni nchi huru, hao unaowategemea hawatakusaidia chochote na wao wapo kwa maslahi ya nchi zao.
 
Next step ni Immediately , Impartial, thorough and independent investigation. Hili ni shinikizo na maana yake process inaanza na haitahusisha MipoliCCM wetu ambao ndio watuhumiwa namba 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…