Mkuu huyu demu alipata mtoto akiwa na miaka 16 akawa anachukiwa wanaumeYote sawa,lakini anakitu cha thamani ktk ya mapaja yake.Hiki kinasaidia kumuongezea utajiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sizungumzii Netflix mkuu iyo ya mwaka Jana ndo yakwanza kweliBro
Nina account Netflix mwaka wa tatu huu,Nnaji ndio kaweka movie hii ya kwanza!
Sasa sijui unaongea nini mzee!
Unaongea as if kauza Netflix movie kama buku hivi,kumbe ni movie moja!
Mwanamke tajiri kwenye hizo makitu zao huko NG ni Omotolla ambae hana hizo nyumba mnazoonesha hapa!
Duh!
Akuna anaependa weusi asee hata Mimi siupendiNa bado ni mweusi....wala hajakuza tako masista do wa Bongo movie jifunzeni [emoji2]View attachment 1043106
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Authority yakusema "akuna" umeitolea wapi mkuu ? Binafsi napenda sana mabinti weusi kwani kwa dunia ya sasa inaonyesha jinsi gani wapo real [emoji3][emoji3]
Sizungumzii Netflix mkuu iyo ya mwaka Jana ndo yakwanza kweli
Ila anamovie nyingi Sana alizouza kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuwa single ndio maana halisi ya mwanamke maarufu kuuza uchi.Muuza kyuma tu huyu Dada huko America na Uarabuni.Mkuu huyu demu alipata mtoto akiwa na miaka 16 akawa anachukiwa wanaume
Dbanj alidate nae hawakudumu
Sasahivi ni feminist yupo single
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa kajipa mamlaka ya usemajiHiyo Authority yakusema "akuna" umeitolea wapi mkuu ? Binafsi napenda sana mabinti weusi kwani kwa dunia ya sasa inaonyesha jinsi gani wapo real [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu mkuu unaongea kwa uhakika lete faili lake tuone mzee usijekuwa hisia tuMkuu kuwa single ndio maana halisi ya mwanamke maarufu kuuza uchi.Muuza kyuma tu huyu Dada huko America na Uarabuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli Monk...!!Sio waigizaji tu wanaotakiwa kujifunza. Kila mmoja kwa nafasi yake ajitahidi kutumia fursa na kujiletea maendeleo. Hauwezi kuwabeza waigizaji kwamba hawana kitu endapo na wewe hauna cha maana unachokifanya.
Hata kama anauza uchi si anauza kwafaida yake na majengo yamaana anajengaMkuu kuwa single ndio maana halisi ya mwanamke maarufu kuuza uchi.Muuza kyuma tu huyu Dada huko America na Uarabuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wetu wanaenda kupunguza utumbo sijui lengo kutokula sana au vipiHawajitambui wa kwetu.