Genge la wahuni liliko nyuma ya feisal limchangie pia pesa za kwenda CAS na akishindwa na uko pia liwe tiyali kumlipia fidia atakayotakiwa kulipa

Genge la wahuni liliko nyuma ya feisal limchangie pia pesa za kwenda CAS na akishindwa na uko pia liwe tiyali kumlipia fidia atakayotakiwa kulipa

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Mjadala wa feisal kwa hapa nchini umefungwa rasmi na kamati ya sheria na hadhi za wachezaji baada ya kutoa uamuzi wake kuwa ni mchezaji halali wa yanga kwa mujibu wa mkataba wake aliosaini akiwa na akili timamu, na kesho jumatatu watatoa ufafanuzi wa kisheria uliopelekea feisal abakishwe yanga,
Lakini pamoja na ayo naona kuna lile genge la wahuni linamtaka aende CAS sasa waswahili uwa wana msemo wao kwamba ukitaka kuruka uagane na nyonga,,Wasiache pia kumchangia pesa ya kufile case dola elfu 25 za kitanzania kwa upande wake lakini pia mlalamikiwa ambae ni yanga itabidi ailipie pia dola elfu 25 kwa maana inatakiwe pesa ilipwe yote ili shauri liendelee asipolipa mmoja wapo iyo case inatupwa, na kwakuwa feisal ndiye mlalamikaji awezi kuwalazimisha yanga walipe iyo pesa yeye ndiye itabidi alipe yote ili shauri lisajiliwe ni kama kesi ya Yanga na Morrison ilibidi yanga ilipe mpunga wote ili mambo yaendelee, kwaiyo Feisal aandae mil.100 na ushee kufaili case yake na apo bado anakuwa ajajua atashinda ama atashindwa, akishindwa yanga itafungua case nyingine ya kuomba fidia kwa mchezaji kutokana na usumbufu na kutoitumikia klabu kulingana na mkataba husika, Fidia iyo uwezi jua ni shingapi na yenyewe labda atalipiwa na lile genge lisije likamshauri alafu badae likaingia mitini kwenye mambo ya malipo
 
Morrison aliwagharimu hivyo na bado mkasajili tena.Hata Fei toto akigharamia hiyo kesi au kulipa fidia ni kama atakuwa kawakopesha maana akiondoka mtakuja kumsajili tena na kumrudishia mpunga wake. Uto hawaachiki kirahisi.
 
Morrison aliwagharimu hivyo na bado mkasajili tena.Hata Fei toto akigharamia hiyo kesi au kulipa fidia ni kama atakuwa kawakopesha maana akiondoka mtakuja kumsajili tena na kumrudishia mpunga wake. Uto hawaachiki kirahisi.
Usikariri mkuu
 
Yule mchezaji amerubunika kirahisi Sana na hao waliopo nyuma yake,watampoteza,nimeshangaa Sana kuona Fei anafanya mambo yakizamani kiasi hiki,ulimwengu wa Sasa hivi unaibuka morning na kusema nimevunja contract na akina Fulani,amejivunjia heshima pamoja na kwamba anafuata maslahi uko anakotaka kwenda,wamemdanganya.
 
Morrison aliwagharimu hivyo na bado mkasajili tena.Hata Fei toto akigharamia hiyo kesi au kulipa fidia ni kama atakuwa kawakopesha maana akiondoka mtakuja kumsajili tena na kumrudishia mpunga wake. Uto hawaachiki kirahisi.
Akili za makasiriko hizi. Angalia usichizike
 
Kama aliweza kulipa 112 ml, atashindwa vp kukipa usd 25k? By the way mjadala ungekuwa umefungwa tff wasingetusubirisha tena mpaka jumatatu.
 
Hata ukimuangalia kwa sura fei anaonekana ana uwezo mdogo wa kufikiri nje ya mpira. Huwezi fanya uamuzi wa kipumbavu kwa timu ambayo imekujenga na fanbase yao inakukubali. Angeondoka kistaarabu, SiO kama malaya wa zanzibar.
 
Kama aliweza kulipa 112 ml, atashindwa vp kukipa usd 25k? By the way mjadala ungekuwa umefungwa tff wasingetusubirisha tena mpaka jumatatu.
Alete mln 400 Yanga tumuache aende anapotaka kuliko kutoa pesa yote hiyo huko CAS na 100% atashindwa kesi na ataamriwa atulipe na pesa juu ya usumbufu,aje mezani tumalize mambo
 
Back
Top Bottom