Genital herpes

Genital herpes

Yaaan kama kuna mtu anabeza jamii forums kuhusu tiba aaaah tumwache tuu... me nimeumwa genital warts miaka 7 ninazo yaan elewa saba ni tang 2017 had 2024 hapo mwaka jana baada ya kuja huku jamii forums nikapata baadh ya majina ya dawa nikazitafuta nikatumia nikapona kabisa not easy broh but its possible me nimepona kabisa kabisa anaebisha natuma picha za jins nilikuw na nilivyo now asante sana jamiiforums kwasabb skuwahi kwenda hospital ni mwendo wa angaiko tu la jamii
 
Imagine me nilikuw km hvyo
Miaka saba lazma viwe vikubw kama hvyo noma saaana aseh nikiona hizi picha ndo nagundua nilikuw naumw sana QManina
 

Attachments

  • IMG_20240217_003505_1.jpg
    IMG_20240217_003505_1.jpg
    791.9 KB · Views: 7
  • IMG_20240217_003654_9.jpg
    IMG_20240217_003654_9.jpg
    628.5 KB · Views: 8
  • IMG_20240217_003554_8.jpg
    IMG_20240217_003554_8.jpg
    407.4 KB · Views: 7
  • IMG_20240217_003403_1.jpg
    IMG_20240217_003403_1.jpg
    686.1 KB · Views: 7
Kwenye mitishamba/mimea magonjwa mengi Sana yanatibika,shida ni mitazamo ya watu.
Karibu, unaweza kupata msaada vyema kabisa na utashangaa.
BABA VLADMIR UNATIBU GERNITAL HERPES?

YAANI MTU ALIPIMA IKASOMA +VE,JE AKITUMIA DAWA ZAKO AKAMALIZA ITASOMA -VE?

NAULIZA HIVI,MAANA DAWA ZA HOSPITAL ZINAHAIRISHA TU TATIZO KWA MGONJWA,BAADAE UGONJWA UNARUDI.
 
Imagine me nilikuw km hvyo
Miaka saba lazma viwe vikubw kama hvyo noma saaana aseh nikiona hizi picha ndo nagundua nilikuw naumw sana QManina
Aisee.. kweli uliumwa.
So, ulitumia dawa gani hadi ukapona?
 
Back
Top Bottom