Maana ya ndoa hatujaielewa bado, Mungu atusaidie tu kwakweli.Kabisa, tena ikiwezekana watu wakaage tu na open relationships. Maana kusumbua tu Wachungaji kufungisha ndoa huku mtu anajua kabisa ataishi na wanawake 10
Unachelewa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hapana new version siitaki nataka old one
Sent using Jamii Forums mobile app
Wawili ni wawili tu!Ni kwa namna gani unakabiliana Na u single mother
Unadhan kukosekana kwa baba kunawaathiri vipi watoto
Huwa unawafariji vipi wanao
DJ sepetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] we hisi tuuSijui kwanini nimehisi tu!! [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Una furaha Na kazi yakoWawili ni wawili tu!
Kuhakikisha wanapata mahitaji yao ya msingi kwa wakati nashukuru Mungu sio wasumbufu sana kumlilia baba yao !
Ni watoto lakini wanajitambua wanapambana na hali zao!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaa mmetulizana kwani mmeacha kufunction au?Na nyie mnacheat kama hamna akili nzuri nowadays ingawa wanaume tumetulizana
Sio wote, a lot embrace cheating pia. Au acheat yeye ila mwenzake awe faithful khaaAny human being yupo hivyo si wewe tu
Yap inanipa muda wa kua na wananguUna furaha Na kazi yako
Changamoto zipi
DJ sepetu
Na me nimehisiiiiiiiiiiiiSijui kwanini nimehisi tu!! [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Unafundisha primary or secondary!?Yap inanipa muda wa kua na wanangu
Changamoto kudeal na watoto wa watu kazi sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
UMEMALIZA YOTE ! na kale kamsemo mwanamke mjinga' kananiudhiiiiiiiiii !
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na me nimehisiiiiiiiiiiii
Mkuu ako kamsemo kanatumiwa vibaya sana tofauti na jinsi biblia ilivyomaanisha
Secondary...!!Unafundisha primary or secondary!?
Nini kinafanya watu wengi kuona kuwa mwalimu ni last option!?
Nn kifanyika kuondoa dhana hii
DJ sepetu
Hata "alichokiunganisha Mungu binadamu asikitenganishe" huwa inatumiwa vibaya, watu hutuyaelewi maandiko vyema.Mkuu ako kamsemo kanatumiwa vibaya sana tofauti na jinsi biblia ilivyomaanisha
kanaumiza sana !kanakera mno ! mm sitak mahubiri ya aina hii kwa maisha yangu na wanangu!
[emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]Nakuona ujue....[emoji2] [emoji2]
Vipi maslahi wengi walimu wanalalamika kipato kidogoSecondary...!!
Ualimu ni kazi kama kazi nyingine
Naweza sema mfumo wa serikali ndo umefanya hii kazi idharaulike kwa watu wengi
Hakuna kazi ngumu kama kudeal na binadamu
Tatizo ni system tu!hamna cha zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app