Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Maana ya ndoa hatujaielewa bado, Mungu atusaidie tu kwakweli.Kabisa, tena ikiwezekana watu wakaage tu na open relationships. Maana kusumbua tu Wachungaji kufungisha ndoa huku mtu anajua kabisa ataishi na wanawake 10