Huwez amin my dear and from very first time nlimuambia ukwel na amewakubal yaani kua na watoto sio kigezo cha kukataliwa mbona sis tunalea wa kwao tunaowakuta .Kweli Mungu si mwanadamu, you still bagged yourself a fresh good man.....
C.c espy
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] uchochezi sasa huuBado!!....Mbona hujamuuliza amewahi kutoka na nani hapa JF???[emoji32][emoji32][emoji32]
WawiliGeni! Ungependa uzae watoto wangapi katika nyumba yako mpya ( If God wishes?)
Ipogolo ana maswali[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Haha ipogolo hili swali naona unaliuliza mara ya 3 sijui.
Niseme kweli mimi si mpitaji au mpenzi wa haya majukwaa tofauti na Siasa, GT, int forums etc, but leo ktk list ya new posts ktk app yangu nikaiona hii thread... awali niliipita pita lkn Kuna kitu kikanisukuma niifungue na nikajitahidi isoma mpaka mwisho.Huwez amin my dear and from very first time nlimuambia ukwel na amewakubal yaani kua na watoto sio kigezo cha kukataliwa mbona sis tunalea wa kwao tunaowakuta .
Mimi wanaoponda single mama nawaangaliaga tu haswa wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataenda likizo kwa baba yaoNi kweli Heaven. Mume mtarajiwa hana mke.Bado Geni ni 30 yrs. Watoto 2. Mume mpya atahitaji watoto.
Amejipangaje kuhandle situation hiyo?
Mzazi mwenxiye akitaka kuwaona wanawe atamwambiaje mume mpya?
Till now ni muelewa mnoo hana shidaMume mpya awe muelewa sana na mungu awajalie wote.
ChademaWe ni CHADEMA AU CCM?
Nakuheshimu na kukukubali pia hujui t[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji257]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daah!umenza lin umbea binamuHaha sawa wakazi wa Darrrrrr. Ila nahisi anasoma interview yako hapa, I wish agonge like kwenye comment yangu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Thank uHongera na pole ya misukosuko geniveros you are the best and u deserve the best too mpunga wa pili usinikose free card lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu ubarikiweKwa jinsi navyokukubali geniveros nimesoma uzi wote kuanzia mwanzo mpaka mwisho
Ndo maana sijajutia kukuweka kwenye uzi wangu ule wa [COLOUR=RED]TOP TEN OF BEST FEMALE JF MEMBERS[/COLOR]
Umenijibia my cuzooHayo mambo nafikiri walishadiscuss wenyewe vizuri tu wakakubaliana. Plus geni anajua alipotoka, sidhani kama anaweza kufanya upumbavu wowote wa kuhatarisha ndoa yake. Afu kinachonipa matumaini ni kwamba geni ndo aliamua kumove out of that relationship. Ni hivi kuoa/kuolewa na single parent ni challenge kubwa especially kama mzazi mwenza wa kike hajamove on, ni tatizo kubwa sana. Ila kama mwanamke amemove on then hakuna threat kwenye ndoa yake au ya ex mumewe.
Najua huamini kuwa inakuwaje a fresh man, kwenda kuoa a single mom of 2, ila I guess kwenye interview umepata picha kuwa mume wa geni had a taste of paradise and lost it. She is still someone's dream woman. Angekuwa single dad ndo anataka kuoa, hata usingekuwa na doubts. Binamuuuu nakuaminia mama, Mungu awatangulie siku zote, can't wait kufinya ubweche. For every Future, there is a Russell.
Haha mengi ya ukweli tu, likiwa la ukakasi unaliskip tu. Au unakuwa na majibu chonganishi kama yale yangu tehHivi haya maswali yanayoulizwaga kwenye interview haswa hayo ya personal kabisa huwa mnajibu ukweli kabisaaaaa!!!! Sipatii picha ambavyo ningedanganya, teh teh teeeeh!!
Cc Heaven Sent
Ulinifundisha binamu
Ni wa kuwasamehe bure tuuNimewakumbuka watu fulani fulani na maneno yao mbofu mbofu.
Yaani ningedanganyaaaa hadi basi.Haha mengi ya ukweli tu, likiwa la ukakasi unaliskip tu. Au unakuwa na majibu chonganishi kama yale yangu teh