Geniveros interview on muosha rungu live show!

Geniveros interview on muosha rungu live show!

Kweli Mungu si mwanadamu, you still bagged yourself a fresh good man.....
C.c espy
Huwez amin my dear and from very first time nlimuambia ukwel na amewakubal yaani kua na watoto sio kigezo cha kukataliwa mbona sis tunalea wa kwao tunaowakuta .
Mimi wanaoponda single mama nawaangaliaga tu haswa wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwez amin my dear and from very first time nlimuambia ukwel na amewakubal yaani kua na watoto sio kigezo cha kukataliwa mbona sis tunalea wa kwao tunaowakuta .
Mimi wanaoponda single mama nawaangaliaga tu haswa wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
Niseme kweli mimi si mpitaji au mpenzi wa haya majukwaa tofauti na Siasa, GT, int forums etc, but leo ktk list ya new posts ktk app yangu nikaiona hii thread... awali niliipita pita lkn Kuna kitu kikanisukuma niifungue na nikajitahidi isoma mpaka mwisho.
Kwakweli ulimwengu wa mapenzi na ndoa kwa karne hii ni mgumu sana! Yataka moyo na kujitoa. Changamoto za leo ni nyingi kwakua maisha yamebadilika sana!

Pia hongera sana kwakua focused na mama mzuri. Nami nikuulize ka swali ka utafiti, vipi ikitokea (Siombei hivyo) chance ya pili pia ikapotea utakua tayari kujaribu ya tatu?
Mungu akubariki Binti mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mambo nafikiri walishadiscuss wenyewe vizuri tu wakakubaliana. Plus geni anajua alipotoka, sidhani kama anaweza kufanya upumbavu wowote wa kuhatarisha ndoa yake. Afu kinachonipa matumaini ni kwamba geni ndo aliamua kumove out of that relationship. Ni hivi kuoa/kuolewa na single parent ni challenge kubwa especially kama mzazi mwenza wa kike hajamove on, ni tatizo kubwa sana. Ila kama mwanamke amemove on then hakuna threat kwenye ndoa yake au ya ex mumewe.

Najua huamini kuwa inakuwaje a fresh man, kwenda kuoa a single mom of 2, ila I guess kwenye interview umepata picha kuwa mume wa geni had a taste of paradise and lost it. She is still someone's dream woman. Angekuwa single dad ndo anataka kuoa, hata usingekuwa na doubts. Binamuuuu nakuaminia mama, Mungu awatangulie siku zote, can't wait kufinya ubweche. For every Future, there is a Russell.
Umenijibia my cuzoo
Ahsante binamu namuomba sana Mungu wanaume wana ubaguzi sana kuoa mwenye watoto kwao wanaona dhambi ila wao sisi tunawavumilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi haya maswali yanayoulizwaga kwenye interview haswa hayo ya personal kabisa huwa mnajibu ukweli kabisaaaaa!!!! Sipatii picha ambavyo ningedanganya, teh teh teeeeh!!
Cc Heaven Sent
Haha mengi ya ukweli tu, likiwa la ukakasi unaliskip tu. Au unakuwa na majibu chonganishi kama yale yangu teh
 
Back
Top Bottom