GENTA ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JF

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ankal ananivunja mbavu jeshi la mtu mmoja haazimi silaha Nchi jirani
Ankal wako ni Muisrael...ila nimegundua mleta Uzi nae jau,inakuwaje mwanaume unajifanya mwanamke?
 
OK
 
Genta kama ameacha matusi, poa, asijisifie Acha watu wamsifie. Mshana poa! Hana makuu japo ana mchango mkubwa sana. Amenielimisha mengi kuhusu ulimwengu wa roho. Ukimkosoa anakujibu kwa busara akiwa anacheka.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Ankal wako ni Muisrael...ila nimegundua mleta Uzi nae jau,inakuwaje mwanaume unajifanya mwanamke?

[emoji23][emoji23][emoji23] dada yaani kuna watu humu wananipa burudani sana akiwemo ankal Genta na T uone hii miamba inaishi dunia ya peke yao aiseee!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] dada yaani kuna watu humu wananipa burudani sana akiwemo ankal Genta na T uone hii miamba inaishi dunia ya peke yao aiseee!!
Eeeeeh T uone nae ni jeshiii 🤣🤣🤣mi sitakigi kabisaaa kukutana nao kwenye 18...
 
Dada unakwepa km unacheza shake ready [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hii nimeongea from deep inside my heart,Mwanamme uliyekamilka Huwezi anzisha Uzi wa kibwege bwege kumuanzishia mwanaume mwenzio
..ni Humiliation,ana Haki ya kutukuna......Ukianzishiwa Uzi ambao unajua kabisa lengo sio Upendo ila ni dhihaka uwa inakera sana!
 
Jf na watu wenye sifa. Hawajapewa sifa wameamua wa join today na today today wamejipa sifa😂😂😂😂😂😂.

Sijategemea hili kama ni Mshana Jr kalitengeneza labda huyo kuku mwingine genta.
 
Nashukuru kwa Kulijua hili / hilo Mkuu ngoja sasa nimnyooshe pamoja na Wapumbavu Wenzake na leo Watanitambua kwani Ninewavumilia vya kutosha na Nimechoka.
Sina Shaka na na Israel,,, Hamas watajuta mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…