Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
WanaguswaVijana wa Dar imekuaje nowadays mnaona ni normal tu kujifanya wa kike? Na kimasihara sihara hivi hivi mnapitiwa🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanaguswaVijana wa Dar imekuaje nowadays mnaona ni normal tu kujifanya wa kike? Na kimasihara sihara hivi hivi mnapitiwa🤔
Ankal wako ni Muisrael...ila nimegundua mleta Uzi nae jau,inakuwaje mwanaume unajifanya mwanamke?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ankal ananivunja mbavu jeshi la mtu mmoja haazimi silaha Nchi jirani
OKWanajf
Kwa heshima yote mie binti mzuri mdada nilijiunga jf leo .
Naomba nitoe mchango wangu kwa kutambua uwepo wa wanaume wanaongoza kuwa na mvuto na ushawishi humu ndani ambao ni GENTAMYCINE na MSHANA JR.
Hawa ndio wanaume wanaongoza kwa mvuto humu ndani.,sidhani kuna wakunipinga katika hilo
Wanasifa nyingi sana zinazowafaa kupewa Tuzo hii.
Nimemaliza mie mdada Mzuri sana.
Nawapenda.
GENTAMYCINE
Mshana Jr
Sio chale ni charle au chaz netanyau hujui kuandika
Ankal wako ni Muisrael...ila nimegundua mleta Uzi nae jau,inakuwaje mwanaume unajifanya mwanamke?
Kizazi hiki wanaume mna laana sana.GENTAMYCINE naenda mahakama ya jf kukufungulia kesi ya udhalilishaji wa kijinsia haiwezekani nakusifia naonekana kama na shobo sana vile
Hapana,simuongelei huyo....namuongelea mwenye uzi....mleta Uzi ni Me tuliosoma Cuba tushaelewa
Eeeeeh T uone nae ni jeshiii 🤣🤣🤣mi sitakigi kabisaaa kukutana nao kwenye 18...[emoji23][emoji23][emoji23] dada yaani kuna watu humu wananipa burudani sana akiwemo ankal Genta na T uone hii miamba inaishi dunia ya peke yao aiseee!!
Kizazi hiki wanaume mna laana sana.
Ila hii nimeongea from deep inside my heart,Mwanamme uliyekamilka Huwezi anzisha Uzi wa kibwege bwege kumuanzishia mwanaume mwenzioDada unakwepa km unacheza shake ready [emoji23][emoji23][emoji23]
Eeeeeh T uone nae ni jeshiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]mi sitakigi kabisaaa kukutana nao kwenye 18...
Huyo netanyau
Acha ujinga!!,narudia tena acha ujinga!!simama kwenye zamu Yako kama mwanammeSikuwahi kudhani na sisi wadada tunakuwa wapumbavu hivi.
Sina Shaka na na Israel,,, Hamas watajuta mbonaNashukuru kwa Kulijua hili / hilo Mkuu ngoja sasa nimnyooshe pamoja na Wapumbavu Wenzake na leo Watanitambua kwani Ninewavumilia vya kutosha na Nimechoka.