Gentamycine kwa wewe ni mnyarwanda kweli hebu tuambie nini maana ya maneno haya

Gentamycine kwa wewe ni mnyarwanda kweli hebu tuambie nini maana ya maneno haya

Mkuu kuna Watu humu wanataka ' tufunguke ' zaidi kisha wajione ' takataka ' na ' waumbuke ' vilevile. Wengine hatujazoea na hatujakuzwa katika ' Kujionyesha ' Mkuu na hadi hii leo naikumbuka Kauli ya Kibusara aliyoniambia Rais Museveni mwaka 1996 mwezi September aliponipandisha katika ' Chopper ' yake nikiwa na ' First Son ' wake Muhoozi Kainerugaba huku huyu ' sacked ' IGP mwenye matatizo sasa Kale Kayihura akiwa ni mmoja wa Walinzi wake katika Kikosi chake cha PPU ( Presidential Protection Unit ) kwenda kunitembeza Kijijini Kwake Rwakitura na katika ' ranch ' yake ya Ntungamo na kunitambulisha kwa Marehemu Baba yake Mzee Amos Kaguta ambapo aliniambia namnukuu...." Nawapenda sana Watanzania na Tanzania mmebarikiwa sana kumpata Kiongozi mkarimu, mwenye huruma na asiye na makuu Babu yako Mzee Mwalimu Nyerere hivyo nakuomba na Wewe hata ukija kuwa Msomi wa aina gani au kuwa na mafanikio ya aina gani maishani usipende kuishi kwa Kujionyesha bali muige Mwalimu ambaye hakupenda makuu na aliishi maisha yake tu ya kawaida hadi hivi leo......". Na mpaka leo hii GENTAMYCINE nayaishi hayo maneno ya Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni na hata ukija kuniona au ukiambiwa huyu ndiyo GENTAMYCINE hutoamini na utabaki kushangaa.
Naam, that is my bro Genta
 
Back
Top Bottom