Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Wasalaam wanabodi
Sina neno, niseme tu kwamba Mimi ni shabiki na mwanachama halisi wa Dar es salaam Young African
Kuna uzi upo humu ambao umeanzishwa na member mwenzetu humu, akionekana kujua mengi kuhusu mpira wa kibongo kama si ujuaji tu.
Uzi unaituhumu timu ya Coastal union kwamba watafungwa tu, kwakuwa tayari GSM washatoa mlungula huko Tanga.
Maswali yangu,
Je, wewe Gentamycine umeangalia mechi kati ya Coastal union na Yanga?
Je, umeona na kujiridhisha aina ya magoli yaliyofungwa na wachezaji tegemeo na wenye kulazimisha matokeo?
Ushauri wangu kwako ni kwamba punguza ujuaji au jiongeze, siyo Kila habari unayoisikia unakimbilia kuileta humu.
Vinginevyo unajiaibisha tu,
Coast wamecheza vizuri tena walipania lakini ndio hivyo Tena,
Wamecheza lakini magoli kapata Yanga.
Sina neno, niseme tu kwamba Mimi ni shabiki na mwanachama halisi wa Dar es salaam Young African
Kuna uzi upo humu ambao umeanzishwa na member mwenzetu humu, akionekana kujua mengi kuhusu mpira wa kibongo kama si ujuaji tu.
Uzi unaituhumu timu ya Coastal union kwamba watafungwa tu, kwakuwa tayari GSM washatoa mlungula huko Tanga.
Maswali yangu,
Je, wewe Gentamycine umeangalia mechi kati ya Coastal union na Yanga?
Je, umeona na kujiridhisha aina ya magoli yaliyofungwa na wachezaji tegemeo na wenye kulazimisha matokeo?
Ushauri wangu kwako ni kwamba punguza ujuaji au jiongeze, siyo Kila habari unayoisikia unakimbilia kuileta humu.
Vinginevyo unajiaibisha tu,
Coast wamecheza vizuri tena walipania lakini ndio hivyo Tena,
Wamecheza lakini magoli kapata Yanga.