Ahahaha kipindi kile sijui ulikua na utoto mwingi asee🙂🙂
Why is that??
Hii kauli haiusiani na huu Uzi, isipokua nime kumbuka ulivyikua mtata zamaniWhy is that???
Tangu uwe mama umebadilika sana, ndoa zina wapa hekima, busara na heshima asee🤣🤣🤣🤣
Unahisi ntakuwa nimepunguza???
Umebadilika umekua vyemaMhhh....I don't know about all that. Mi naona kama JF ndo imebadilika na sio mimi.🥴🥴
Charles kilian asante kwakunikumbusha huu ujinga. Haki wahenga tulikua na mengi!!!😆You ain't even a quater of the man I'm talking about, soooo. . . . So long.
ala! kumbe na wewe ni bintiNjoo uku nyuma, madada zako tuko huku na Lizzy...lol:A S-coffee:
Mkuu kumbe bado upo, nimefurahi.Charles kilian asante kwakunikumbusha huu ujinga. Haki wahenga tulikua na mengi!!!😆
Na mimi nimefurahi pia Mjuni Lwambo Ila hii ID umebadili ama?Mkuu kumbe bado upo, nimefurahi.
Kipindi hicho mlikuwa wachache JF halafu wote Intellectuals!
Hivi Kongosho yuko wapi? Nilikuwa namhusudu sana.
Hapana sijawahi kubadili ID. Huo mwaka 2012 ndio niliojoin, wewe hatujakutana sana jukwaani,Na mimi nimefurahi pia Mjuni Lwambo Ila hii ID umebadili ama?
Those were the good days!🥴
Hata sijui alipotelea wapi wifi yangu na vipenzi vyangu!!🥺
Owwkey!🙂Hapana sijawahi kubadili ID. Huo mwaka 2012 ndio niliojoin, wewe hatujakutana sana jukwaani,
Ila nawakumbuka akina AshaDii, WomanOfSubstance, kitila na akina mukandara, wote hawa wameadimika, umebaki wewe tu na Kichuguu,
Labda na ndugu yangu Kiranga cha Ngeda Kandumbwa. Wakongwe wengi wametupa kisogo.
Mkuu umeibuka?Hapana sijawahi kubadili ID. Huo mwaka 2012 ndio niliojoin, wewe hatujakutana sana jukwaani,
Ila nawakumbuka akina AshaDii, WomanOfSubstance, kitila na akina mukandara, wote hawa wameadimika, umebaki wewe tu na Kichuguu,
Labda na ndugu yangu Kiranga cha Ngeda Kandumbwa. Wakongwe wengi wametupa kisogo.
MdakuziRight here in JF. . . .
There is a certain gentleman,
who posseses the qualities of a real man
One with uncompromising principles,
And great ambitions.
His irresistible charm. . . takes me by storm.
Lizzy
Natamani kuwe na wakaka wanaofanana na huyu in the real world, wanaojielewa na kuelewa wengine. Wenye mawazo ambayo sio ya kibinafsi kama ya wengine tuliowazoea, wenye mioyo ya dhahabu kama wake, wenye msimamo kama yeye, heshima na akili kama zake. A real husband material. . . a man worth loving.