Gentleman. . .

Gentleman. . .

Ila Dr Lizzy una mambo? Ilikuwaje ukageuka team kataa ndoa? 😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nifah ...that was me being sarcastic bana.🙃

Trust me, nasupport ndoa kwa asilimia zote 105! Nisichounga mkono ni kitendo cha baadhi ya watu kuoa/kuolewa/kuowana huku wakiwa na nia au lengo lakumtumia tu mwenzie (taking advantage), na kujinufaisha kwa namna moja ama nyingine.

Wanafanya NDOA ikose mvuto na kuonekana kama jamvi la vichaa mpaka kina dronedrake wanapata point.😵
 
Humu kuna vibibi jamani ndo mana wengine wana kisirani kweli kama yule Haloo wangu
 
alikuwa kama wewe tu.mbwembwe kibao mara gentleman mara kaka mzuri sasa hivi mwenzio nisingo maza japo nawewe pía nisingo maza ámbae unabwana anae kuchezea badae atakubwaga tuu kama zebodi alivyo kufanya😕😕😕
Punguza wivu!! Besides, that was always the goal for me, ask dear  diary!😌
 
Right here in JF. . . .

There is a certain gentleman,
who posseses the qualities of a real man
One with uncompromising principles,
And great ambitions.
His irresistible charm. . . takes me by storm.
Lizzy

Natamani kuwe na wakaka wanaofanana na huyu in the real world, wanaojielewa na kuelewa wengine. Wenye mawazo ambayo sio ya kibinafsi kama ya wengine tuliowazoea, wenye mioyo ya dhahabu kama wake, wenye msimamo kama yeye, heshima na akili kama zake. A real husband material. . . a man worth loving.
Women with their fantasy dreams?! No wonder they are always getting disappointed!
Bless them...
😂😂😂😂😂
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nifah ...that was me being sarcastic bana.🙃

Trust me, nasupport ndoa kwa asilimia zote 105! Nisichounga mkono ni kitendo cha baadhi ya watu kuoa/kuolewa/kuowana huku wakiwa na nia au lengo lakumtumia tu mwenzie (taking advantage), na kujinufaisha kwa namna moja ama nyingine.

Wanafanya NDOA ikose mvuto na kuonekana kama jamvi la vichaa mpaka kina dronedrake wanapata point.😵
Mmmmh😍
 
unamiaka mingapi mrembo.nione kama tunaweza kufanya chemistry
Kuna mwanamke anaweza kufanya chemistry na kichaa kweli?

Unaweza kufit zaidi kuwa shamba boy wake.

By the way madam Rita kawapa offer vijana anatafuta mume bahati mbaya vijana wanajitokeza hata pa kuishi hawana.

Ndio this category of mbwembwe unazoleta wewe.
 
Kuna mwanamke anaweza kufanya chemistry na kichaa kweli?

Unaweza kufit zaidi kuwa shamba boy wake.

By the way madam Rita kawapa offer vijana anatafuta mume bahati mbaya vijana wanajitokeza hata pa kuishi hawana.

Ndio this category of mbwembwe unazoleta wewe.
Dr acha uchokozi.😁

Let the boy have his fun.🙂
 
Mkuu umeibuka?

Unamkumbuka Field Marshall ES, Sauti ya Umeme, anakwambia "no research, no right to speak" na "kumkoma nyani giladi" ?

Ukitaka kumpiga nyani usimuangalie usoni, itamuonea huruma.

RIP FM ES.

Unamkumbuka jamaa mmoja alikuwa anaitwa GAME THEORY ? Jamaa alikuwa ana mavitabu yote kama Profesa wa Harvard, akiwakuta mnabishana anawatumia mavitabu tu.

Ukiqnza mjadala wa Israel na Palestina kama huu wa sasa basi anakwambia "Umemsoma Edward Said katika "Orientalism" wewe? Umemsoma Albert Hourani katika "A History of The Arab Peoples" wewe?"

Kisha anakuwekea ma cover ya vitabu kibao mpaka unaanza kuvitafuta vingine.
MaxShimba?Nahisi huyu mdau alikuwa Pastor, akianza kuongelea Faith anarefer kiebrania, Utasikia in Hebrew...

Pamoja na hayo ulikuwa unamconfuse hadi anaanza kutukana.
 
Mkuu umeibuka?

Unamkumbuka Field Marshall ES, Sauti ya Umeme, anakwambia "no research, no right to speak" na "kumkoma nyani giladi" ?

Ukitaka kumpiga nyani usimuangalie usoni, itamuonea huruma.

RIP FM ES.

Unamkumbuka jamaa mmoja alikuwa anaitwa GAME THEORY ? Jamaa alikuwa ana mavitabu yote kama Profesa wa Harvard, akiwakuta mnabishana anawatumia mavitabu tu.

Ukiqnza mjadala wa Israel na Palestina kama huu wa sasa basi anakwambia "Umemsoma Edward Said katika "Orientalism" wewe? Umemsoma Albert Hourani katika "A History of The Arab Peoples" wewe?"

Kisha anakuwekea ma cover ya vitabu kibao mpaka unaanza kuvitafuta vingine.

Jamaa mbishi kupita maelezo.

Halafu ni kati ya wale wabishi ambao uwezo wao wa kupost ni mkubwa kuliko uwezo wa kufikiri!
Hahahaa, uwezo wa kupost mkubwa kuliko wa kufikiri inakuwa tatizo.

Kuna muda aliargue kwamba kwny uislamu hakuna faith kwa kuwa inaletwa na roho mtakatifu, na eti kwenye uislamu hayupo,

Mara nyingi alikuwa against atheism na islam.
 
Back
Top Bottom