Geof Leah ni Bora ungeomba msamaha kwa viongozi wa Yanga na mashabiki kwa ujumla kutokana na kauli zako zisizo na mashiko

Sawa shehe yahya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
KWELI kabisa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni maoni yake yy pia ni shabiki kama mashabiki wengine
 
Ye ni mchambuzi buana ana uhuru wa kusema chochote mtani,sioni kama kakosea,na mjue yule jamaa ana kiburi cha kipare ni mjeuri sana,na ana dharau na ujuaji sana hawezi kuomba radhi yule.
 
Huyu jamaa ni pumba tupu kichwani ila katafuta umaarufutu tu ukweli anaujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…