NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Maoni ya kijingaPunguzeni mahaba kwa utopolo yenu, Geff katoa maoni yake acheni kelele.
Kafa kifo Cha mendeMtu asitoe maoni yake akuogopeni ninyi....utopolo dah
Sawa shehe yahyaUtopolo kweli ni utopolo. Kwa hiyo pale Supersport hujawahi ona wachambuzi wakitoa utabiri?
Mtangazaji anamuuliza mchambuzi your prediction? Kuffor anajibu 3-1 to Madrid. Sasa nyinyi Utopolo ni nani msitabiriwe kufungwa na wachambuzi wakati ni kitu cha kawaida na wachambuzi wakubwa huwa wanafanya hivyo.
KimyaUyo jamaa mwenye mdomo kama panya alishaumbukaga mwanzo alivyotabiri Yanga atafungwa ila ikawa sivyo wala haina haja ya kumjibu
KWELI kabisaAmbacho mnashindwa kujua, saiv baadhi ya wanaojiita wachambuz wanitumia turufu ya kuiponda yanga ili kujitangaza zaid, mfano... Bin kazumari na Mzee wa Jambia.
Its true ni wachache sana waliokua wanakjua Wilson Oruma but kupitia kuiponda na kuwaandika vibaya wachezaji wa yanga, I think now jamaa anajulikana sana, na mambo mengine kama hayo
Hatamani kushika hata simu yakekaumbuliwa mchana kweupeee
Leo alikuwa qnajichekesha chekeshq tu EFM.
Ni maoni yake yy pia ni shabiki kama mashabiki wengineInatumika nguvu kubwa sana kuwaaminisha mashabiki wa kuwa Yanga haliwezi kucheza fainali.
Geof Lea umegeuka kuwa mtabiri wa nyota Kama shehe Yahya ama Yule pweza wa Ujerumani.
Nimesikiliza uchambuzi wako nimegundua kabisa "You know nothing about football" Ila unachambua mpira kinafiki/kishabiki ili upate comments/likes kwenye social media.
Unajiita mchambuzi kabisa unasema Yanga itakufa magoli matatu! Wewe ni mchambuzi wa Aina gani na namna gani na unatumia factors zipi mpaka unasema kuwa Yanga itafungwa magoli matatu??
Usipoomba radhi kutokana na kauli yako/utabili wako/uchambuzi wako wa mchongo kesho kutwa utakula matapishi yako uliyoyatapika.
Mpira dakika 90 acha mpira uchezwe ndiyo uje kutapika maneno yako.
Mbona umeongea kwa uchungu sana?Aombe msamaha kwa nani ,kwa kutoa maono yake?Kavunja sheria ipi. Mind your own business.
Acha aheshimiwe.Ni maoni yake tuyaheshimu tu
Avue Hilo koti la uchambuzi sasaNi maoni yake yy pia ni shabiki kama mashabiki wengine
Mimi ni Yanga.Sema mtu na mawazo yake negative anajibiwa kwa vitendo uwanjani.Mbona umeongea kwa uchungu sana?
Pole sana but nakukumbusha yanga ni bingwa [emoji23]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa ni pumba tupu kichwani ila katafuta umaarufutu tu ukweli anaujuaInatumika nguvu kubwa sana kuwaaminisha mashabiki wa kuwa Yanga haliwezi kucheza fainali.
Geof Lea umegeuka kuwa mtabiri wa nyota Kama shehe Yahya ama Yule pweza wa Ujerumani.
Nimesikiliza uchambuzi wako nimegundua kabisa "You know nothing about football" Ila unachambua mpira kinafiki/kishabiki ili upate comments/likes kwenye social media.
Unajiita mchambuzi kabisa unasema Yanga itakufa magoli matatu! Wewe ni mchambuzi wa Aina gani na namna gani na unatumia factors zipi mpaka unasema kuwa Yanga itafungwa magoli matatu??
Usipoomba radhi kutokana na kauli yako/utabili wako/uchambuzi wako wa mchongo kesho kutwa utakula matapishi yako uliyoyatapika.
Mpira dakika 90 acha mpira uchezwe ndiyo uje kutapika maneno yako.
Jinga Hilo popoma chambuzi Hilo.Huyu jamaa ni pumba tupu kichwani ila katafuta umaarufutu tu ukweli anaujua