Geoff Lea alijuaje kuwa Nkane atasawazisha??

Geoff Lea alijuaje kuwa Nkane atasawazisha??

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Hii Tweet jamaa iliipost baada ya goal la 3 la Coast Union

Je ALIJUAJE au ni mwanakamati wa Yanga?

Au ana mapepo?

Au ndo amekwiva Sana kwenye uchambuzi?

Njoo utuambie mwana Jamii
Screenshot_20220702-184018~2.jpg
 
Sio kushangaa hiyo ndio hali halisi hiyo, mpira wa bongo hauna maana kidogo
 
Uyu jamaa siamini kama ni utabiri wake ila alikua akupewa taarifa na chanzo Cha kuminika.
Aisee kwaiyo credit apewe Nani yeye au chanzo Cha kuaminika
 
Back
Top Bottom