Vijana wa siku hizi wana matatizo makubwa sana kwenye uandishi na matamshi ya maneno. Nadhani shule za Kata zina mchango wake mkubwa tu katika hili.Halafu hili tatizo linakuwa sana kwa kasi Sijui shida iko wapi?
Sahihi kabisa. Na ndiyo vijana hawa hawa wanaongoza kutukana hovyo watu humu jukwaani.Shule za kata
Halafu wajuaji kupita maelezo...Vijana wa siku hizi wana matatizo makubwa sana kwenye uandishi na matamshi ya maneno. Nadhani shule za Kata zina mchango wake mkubwa tu katika hili.
Hilo nalijua mkuu na mwenyewe ni wa Singida na kaburi la babu yake limepakana na kaburi la shangazi yangu , hilo wala sibishi isipokuwa mo kwa sasa sio mtanzania ana uraia zaidi wa nchi tatuDewji Ni mtanzania..Na amewahi kuwa Mbunge wa singida kwa Miaka zaidi ya 10 na amewahi kuwa mwenyekiti wa CCM kwa miaka kadhaa..
Pia baba yake na babu yake Wamezaliwa Tanzania
π πHilo nalijua mkuu na mwenyewe ni wa Singida na kaburi la babu yake limepakana na kaburi la shangazi yangu , hilo wala sibishi isipokuwa mo kwa sasa sio mtanzania ana uraia zaidi wa nchi tatu
Anaeongoza jahazi ana unaraia pacha πππππ π
Tanzania hauruhusu Uraia pacha mkuu bado ni ajenda,
sasa yeye kaupata uraia wa nchi tatuπ π
π€£π€£Kwa wewe ndio huruhusiwi mkuu ila hata
Anaeongoza jahazi ana unaraia pacha ππππ