Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Vijana wa siku hizi wana matatizo makubwa sana kwenye uandishi na matamshi ya maneno. Nadhani shule za Kata zina mchango wake mkubwa tu katika hili.Halafu hili tatizo linakuwa sana kwa kasi Sijui shida iko wapi?