Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa,jamaa Ana bifu nao Nini?Ngoja waje wenye timu yao wamporomoshee mitusi ya mwezi mzima
Geof Lea ni mpumbavu tu. Hajawahi kutaka kukubali ubora wa YangaHahaa,jamaa Ana bifu nao Nini?
Maana kaiponda Yanga pia eti haikuwa Bora Sana dhidi ya Kmc kutokana na makosa mengi wali
yofananya KMC...na kula kipigo Cha 5-0
Hahaa! Hataki kukubali uhalisia nahisi na ujuaji unachangiaGeof Lea ni mpumbavu tu. Hajawahi kutaka kukubali ubora wa Yanga
Ujuaji mwingi na kiingereza kibovu cha kuchomekea, jinga sana.Geof Lea ni mpumbavu tu. Hajawahi kutaka kukubali ubora wa Yanga
Anajifichia kwenye kiingereza....kila akiongea lazima aweke kiingereza🤣Ujuaji mwingi na kiingereza kibovu cha kuchomekea, jinga sana.
Halafu hakijui, kama vp apige kitupu pindi lote tuone.Anajifichia kwenye kiingereza....kila akiongea lazima aweke kiingereza🤣
Mzee wa takwimumchambuzi bongoland ni Ramadhan Mbwaduke tu, hao wengine ni wachumia tumbo wa kutafuta followers na viewers instagram
Anachomekea neno moja moja.Halafu hakijui, kama vp apige kutupu pindi lote tuone.
Kweli hoja zake hazina nguvu.Kwamfano leo ukiwatoa Kapombe na Tshabalala utaiichapa Simba goli hata 5+ hawa ndo injini ya Simba miaka nenda rudi Tshabalala Zimbwe JR kaanza kuchezea Simba tangu nsajigwa ajastaafu,Ivon Mapunda,kina machupa n.k
Jofu anapima udhaifu kwa kupigwa chenga?Mbona hajasema Beki mwenye goli nyingi nchi hii ni Zimbwe/Tshanalala M15 ? Kuna chenga beki kama sergio Ramos alipigwa vyenga na Mtoto mmoja wa Celta vigo mpaka akamtafta baada ya game kumpa Maua yake sembuse Tshabalala ndo asipigwe chenga??
Bocco enzi izo na moto wake anaitwa Adebayor na Rasta zake alimpiga chenga beki mtukutu Juma Nyoso mpaka Nyoso akamchezea rafu mbaya sana akapigwa kadi na bocco alikaa nje nusu msimu
Zimbwe jr Ni mkongwe kishafanya mengi Sana na bado anaendelea kukichafua.Nadhani ndio kwanza ligi imeanza watu walishaanza lawama tumjudge baada angalau mechi 5 au 6 za mwanzo wa ligi
Kwenye NBC premier Kuna Amri Kiemba,Mbwaduke,yule Jamaa Mwarabu,hata Ali Kamwe alikuwa vizuri.Mzee wa takwimu
Umemsahau Kitenge huyu jamaa anachambua balaamchambuzi bongoland ni Ramadhan Mbwaduke tu, hao wengine ni wachumia tumbo wa kutafuta followers na viewers instagram
kitenge hamna kitu humo labda uchambuzi wa dipiwodiUmemsahau Kitenge huyu jamaa anachambua balaa