Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
anajua sana huyu ndio mchambuzi ambae nikisikiliza uchambuzi wake nakubaliana nae kwa asilimia kubwaMzee wa takwimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anajua sana huyu ndio mchambuzi ambae nikisikiliza uchambuzi wake nakubaliana nae kwa asilimia kubwaMzee wa takwimu
Kamwe kabla ya kuacha akili zake utopoloniKwenye NBC premier Kuna Amri Kiemba,Mbwaduke,yule Jamaa Mwarabu,hata Ali Kamwe alikuwa vizuri.
Mtazamo wake wewe jeGeoff Leah mchambuzi wa EFM na ETV anamsagia Tshabalala muda huu kwenye namba ten.
Anasema kwamba Zimbwe ni beki dhaifu katika ukuta wa mabeki wa Simba SC. Kuna ukweli wowote?
Amerejea mechi ya Simba na Yanga ambayo Zimbwe alipigwa tobo na Ki Azizi.
Kitenge yupi?? Kama ni Maulidi Kitege futa hii nikupe ubwabwa. Maulid sio mchambuzi na wala hajawahi kuwa mchambuzi na hatakuja kuwa mchambuzi wa soka. Ni mpiga makelele tu kama Baba LevoUmemsahau Kitenge huyu jamaa anachambua balaa
English medium jumlishia kuishi/kusoma Kenya utotoni halafu asijue Kiingereza vizuri. Mchambueni kwenye uchambuzi wake wa mpira huko kwenye Kiingereza yuko njema, mtaaibikaHalafu hakijui, kama vp apige kitupu pindi lote tuone.
Yote maongo sanaMzee wa takwimu
Udhaifu / ubora mzani unaegemea wapi?Madhaifu ya Shabalala yameshajadiliwa Sana hapa, udhaifu mkubwa no kutokuwa na Kasi akikutana na mshambuliaji mwenye Kasi ni tatizo
Udhaifu kwenye kukaba, ubora kwenye kushambulia.Udhaifu / ubora mzani unaegemea wapi?
ni kweli kabisa...leo kaonesha jinsi gani alivyo dhaifu kwa kupelekeshwa na kina Sillah na zidaneGeoff Leah mchambuzi wa EFM na ETV anamsagia Tshabalala muda huu kwenye namba ten.
Anasema kwamba Zimbwe ni beki dhaifu katika ukuta wa mabeki wa Simba SC. Kuna ukweli wowote?
Amerejea mechi ya Simba na Yanga ambayo Zimbwe alipigwa tobo na Ki Azizi.