Geoffrey Lea rasmi EFm katoka Clouds Fm

Na kalikuwa kapole na sauti fulani dhaifu[emoji23][emoji23][emoji23].

Psychologists wanasema ogopa sana haiba hiyo ya watu.mara nyingi huwa wana uwezo mkubwa sana kiroho na kiakili.
 
clouds wa lipeni vizuri wafanya kazi wenu.
B dozen inasemekana kanunuliwa gari na majizzo.
Nyie wafanya kazi wenu hata baiskeli hamjawanunulia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dozen nae anaweza kua fala wa kutupwa
 
Huyu naye kashakua ma*aya WA media, alitoka clouds akaenda Azam hakukaa hata mwaka akarudi tena CMG,Leo kahamia Efm.
Kesha jiona superstar tayari na alivyo na nyodo utadhani ana pesa basi.
 
nzuri hii mkuu
ila ukisha quote mtu huna haja tena ya kum-mention katika same post.
all in all keep it up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…