Geoffrey Lea rasmi EFm katoka Clouds Fm

Geoffrey Lea rasmi EFm katoka Clouds Fm

Nnachokiona ni kwamba watangazaji wa hapo clouds walikuwa hawaondoki kipindi ruge yupo sio kwamba walikuwa wameridhika bali walikuwa wanamuogopa ruge, na hata wale wachache waliokuwa wanathubutu kuondoka walikuwa kama wana ka uoga fulani hivi kama hawajiamini, yule baba cjui alikuwa na kitu gani jamani yani alikuwa anaogopewa kwenye hii industry si mchezo, yani sio wasanii, sio watangazaji yani hata kusaga mwenyewe alikuwa hathubutu kumbishia yule jamaa. Its like Sasahivi finally they are free
Na kalikuwa kapole na sauti fulani dhaifu[emoji23][emoji23][emoji23].

Psychologists wanasema ogopa sana haiba hiyo ya watu.mara nyingi huwa wana uwezo mkubwa sana kiroho na kiakili.
 
clouds wa lipeni vizuri wafanya kazi wenu.
B dozen inasemekana kanunuliwa gari na majizzo.
Nyie wafanya kazi wenu hata baiskeli hamjawanunulia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dozen nae anaweza kua fala wa kutupwa
 
Huyu naye kashakua ma*aya WA media, alitoka clouds akaenda Azam hakukaa hata mwaka akarudi tena CMG,Leo kahamia Efm.
Kesha jiona superstar tayari na alivyo na nyodo utadhani ana pesa basi.
 
@JodokiKalimilo Kitu ambacho wanashindwa kuelewa Ni moja Diamond Ni founder wa Wasafi media na ndio CEO wa Wasafi maamuzi yote ya Wasafi wanafanywa na Diamond kusaga Ni sehemu tu ya wawekezaji lakini Hana mamlaka yoyote ndani ya Wasafi so why uwezi kumkuta board ya Wasafi utamkuta Diamond ndio anatoa maono ya company mfano mzuri kwenye kipindi Cha big Sunday live ndio alikuwa creative production hata ukiwasikiliza wafanyakazi wake Kama maulidi kitege alisema kabisa maamuzi yake ndio yanakuwa final.Ndio maana Diamond ndio anaonekana anafight Sana ku make sure Wasafi media inapiga hatua kubwa.
FRESHMAN
nzuri hii mkuu
ila ukisha quote mtu huna haja tena ya kum-mention katika same post.
all in all keep it up
 
Back
Top Bottom