Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EFM ipo Mwanza, Kigoma, Tabora, Dodoma, Tanga, Dar, Zanzibar, Pwani, Moogoro, Iringa, Mbeya, Mtwara kwingine sipakumbuki.Efm wako Dar tu hawawezi kushindana na clouds.
Wasafi imekujaje kwenye hii taarifa au chuki zako zinakuwehusha?Wasafi hawana ubunifu nao wako Dar pekee.
Jeff hajawah fanya kaz EFM bali aliwah fanya Azam tv kupitia television zao pamoja na radio yao ya UFM.Jeff Lea aliwahi kwenda huko na akarudi.
EFM ipo Mwanza, Kigoma, Tabora, Dodoma, Tanga, Dar, Zanzibar, Pwani, Moogoro, Iringa, Mbeya, Mtwara kwingine sipakumbuki.
.
uwe unauliza kabla ya kuropoka
Wasafi imekujaje kwenye hii taarifa au chuki zako zinakuwehusha?
EFM wapo mikoa 7 na bado wanendelea kujitanua.Wasafi baada TCRA kulizika na uwezo wao mwaka huu wamepewa kibali kuanza kusambaa mikoa mingine.Efm wako Dar tu hawawezi kushindana na clouds.
Wasafi hawana ubunifu nao wako Dar pekee.
Kwaiyo share holder mkuu wa wasafi ni mondi?Wasafi mwenye nguvu Ni mondi hata wafanyakazi wa Wasafi hawamfahamu huyo kusaga hapo unamuonea kusaga,kusaga kajikita clouds fm changamoto kubwa ya clouds inachowakuta sasa Ni kukosa program manager mzuri baada tu ruge kufariki yule maganga hamna kitu na Kuna kipindi walimuweka Hadi shaffihdauda kiufupi wanaboronga Sana.
Ruge alikua jembeClouds inakimbiwa sana
Lakini huna uelewa wowote kuhusu management structurePamoja na kwamba nasikiliza media nyingi za bongo lakini vipindi vya wasafi ndio naangalia Sana kuliko zote nikama kwa mtu mwingine unaweza ukakuta yeye anaangalia Sana East Africa tv than any bongo media.
Unaijua management structure ya wasafi?Wasafi kua pale sio investment ya kusaga..wasafi ni brand tu ndio iliyowasimamisha.....yani kweny brand kusaga hatingishi hata kiberiti...na ukiwa na brand hata uje na billions of money haufui dafu...Kwnini wagumu kumuappreciate Almasi?
Sasa management imetokea wapi Naongelea wasafi kama brand, management haina impact yoyote kwa wasafi kufika pale..ndiomana hata wakiboa,bado brand ipo pale pale...ukiongelea wasafi basi ushajua anaeibeba ni nani..nilie mquote kampraise Kusaga as if ndio mastermind wa wasafiUnaijua management structure ya wasafi?
Sasa management imetokea wapi Naongelea wasafi kama brand, management haina impact yoyote kwa wasafi kufika pale..ndiomana hata wakiboa,bado brand ipo pale pale...ukiongelea wasafi basi ushajua anaeibeba ni nani..nilie mquote kampraise Kusaga as if ndio mastermind wa wasafi
We jamaa Siwez jibu swali la kitu ambacho sijakiongelea...nimeongea kuhusu Brand ,mtu ananiuliza Management,,WTFMkuu,
Jibu swali uliloulizwa!
Kidemokrasia tu ulikuwa useme hivi : SIIJUI MKUU ili ueleweshwe.
Tuko hapa kujifunza chief
Gadna alitoka CMG akaenda Times fm alitangaza kipindi kinaitwa masikani.Hv Gadna G si alitoka CMG akaenda EFM na baadae akarudi tena CMG!
Sasa iyo brand inaendeshwa vip bila management?We jamaa Siwez jibu swali la kitu ambacho sijakiongelea...nimeongea kuhusu Brand ,mtu ananiuliza Management,,WTF
Unashindwa kuelewa kitu kimoja....Brand ipo kabla ya hiyo management.....Sasa iyo brand inaendeshwa vip bila management?