gagarichaa
Member
- Sep 22, 2014
- 38
- 2
SUA iko katika mkoa wa Katavi, yapata km 20 kutoka mji mdogo wa Ifakara. Chuo kinatoa shahada za uzamili na uzamivu tu katika taaluma ya ukunga. Chuo hiki kilianzishwa na marehemu Nelson Mandela alipoitembelea Tanzania mwaka 1984.wakuu salam zenu ningependa kujua chuo cha sua kipo katika geographia gani nikiwa na maana umbali kutoka mjini,mazingira ya chuo kwa ujumla..nk....karibuni mnisaidie kwa mnaokifaaham iki chuo asanteni sana..
kama km 1.5 toka mjini mazngira yako poa sana.Karibu SUA mkuu.
SUA iko katika mkoa wa Katavi, yapata km 20 kutoka mji mdogo wa Ifakara. Chuo kinatoa shahada za uzamili na uzamivu tu katika taaluma ya ukunga. Chuo hiki kilianzishwa na marehemu Nelson Mandela alipoitembelea Tanzania mwaka 1984.
wakuu salam zenu ningependa kujua chuo cha sua kipo katika geographia gani nikiwa na maana umbali kutoka mjini,mazingira ya chuo kwa ujumla..nk....karibuni mnisaidie kwa mnaokifaaham iki chuo asanteni sana..
nashukuru sana kwa maelezo....vip kuhusu maisha ya ndani ya chuo...
View attachment 187728kariiibu mlogolo!!!!!
U will enjoy being at SUA
Hivi civil engineering ya hapo ikoje?
Civil Eng.. Sua haipo ila kuna Agricultural Engineering hii ni nzuri ila utakuta wanaume ndo wengi girls wanaweza kuwa 3 tu. Ni nzuri unajifunga kufunga jembe la trekta ukiwa farm, vitu kama hivo. Huko hesabu za kina Prof Sembuche, nyingi tu
Niliangalia kitabu cha TCU nikaiona hiyo course ya civil ndomana nikauliza.
sio first year wote wanaripoti mazimbu campus! koz kama bvm, animal science, general agriculture, food science n.k wao wanaripoti main campus