YATIMA WA TCU
Member
- Aug 10, 2013
- 58
- 5
jamaa tujadilini kwa undani hii geoinformatics katika nyanja zote kama furusa na soko la ajira pamija na vp tukomae tusije poteza nafasi zakuendelea na masomo yetu..wadau wengine mnao fahamu tusaidiane katika hili asanten sana
kwel we yatima wa TCU haiwezekan wakupangia chuo icho wakat kuna udsm mzumbe na ardh daaah pole sana yatima wa tcu
jamaa tujadilini kwa undani hii geoinformatics katika nyanja zote kama furusa na soko la ajira pamija na vp tukomae tusije poteza nafasi zakuendelea na masomo yetu..wadau wengine mnao fahamu tusaidiane katika hili asanten sana
kwel we yatima wa TCU haiwezekan wakupangia chuo icho wakat kuna udsm mzumbe na ardh daaah pole sana yatima wa tcu
ww dogo #oil sumu ni mgeni wa dar nn? Hujui maana ya "aru" haahaahaahaa hiyo aru=ardhi university!! Unaona sasa umeuumbuka! By the way karibu UCLAS- SCHOOL OF CONSTRUCTION ECONOMICS AND MANAGEMENT(SCEM)! au hujui maana ya UCLAS! Overrr
Huyu dogo oil sumu mkitaka mmuweze ni kutochangia upuuzi anaopost u just have to ignore him trust me it helps kuna mtu humuhumu jf Kwenye jukwaa flani alikuwa na vijitabia kama vya oil sumu tulivoanza kumuignore aliiacha na ana tabia nzuri sana siku hizi
mkuu #mbwiga88 ngoja nimu-ignore.! Coz amezidi vitu havijui ana dandia dandiaa tuu! Overrr
ww dogo #oil sumu ni mgeni wa dar nn? Hujui maana ya "aru" haahaahaahaa hiyo aru=ardhi university!! Unaona sasa umeuumbuka! By the way karibu UCLAS- SCHOOL OF CONSTRUCTION ECONOMICS AND MANAGEMENT(SCEM)! au hujui maana ya UCLAS! Overrr
sema ardh sio aru pia cjajua kama kle chuo naona n taasisi
Huyu dogo oil sumu mkitaka mmuweze ni kutochangia upuuzi anaopost u just have to ignore him trust me it helps kuna mtu humuhumu jf Kwenye jukwaa flani alikuwa na vijitabia kama vya oil sumu tulivoanza kumuignore aliiacha na ana tabia nzuri sana siku hizi