YATIMA WA TCU
Member
- Aug 10, 2013
- 58
- 5
jamaa tujadilini kwa undani hii geoinformatics katika nyanja zote kama furusa na soko la ajira pamija na vp tukomae tusije poteza nafasi zakuendelea na masomo yetu..wadau wengine mnao fahamu tusaidiane katika hili asanten sana