Blessed Upako
Member
- Sep 2, 2011
- 12
- 10
Kweli kuhusu nini. Huenda ikawa wewe ni mmojawapo wa wale wanaozusha Nabii GeorDavie amemchukua mke wa mtu. Kama Huyo bwana alikataa mke asichukue watoto huyo mama ajinyonge. Watoto wakiteseka huyo mume ndiye atakayedaiwa kwani yeye ndie aliyeivunja nyumba pia akaona haitoshi akamnyang'anya mama watoto wake kwa kudai yeye ndiye kidume. Huyu Nabii anaingiaje hapo au tatizo ni huyu mwanamama kuwa katika hiyo huduma.Kumbe hii kitu ni kweli. Je huyo mama alichukua watoto au aliwaacha? Je Geor Davie yeye alikuwa hajaoa wakati huo? Je tunaambiwaje kuhusu mtu akikutenda mabaya? Huyo mama alikuwa anajaribu kufanya jino kwa jino au ni nini hasa? Kama mtu anateswa na mume wake mimi pia sishauri aendelee kuteseka lakini nashauri katika plan zote atakazofanya ahakikishe interest/safety za watoto wake kwanza. Napia sishauri kukimbilia kwenye ndoa ya mtu mwingine regarless ya uimara wa hiyo ndoa unayoenda kuiingilia. Anyways sijui what happened kwenye hii issue lakini wakati wote tukumbuke malipo ni hapa hapa duniani (ukristo ni mgumu sana kuliko tunavyodhania) e.g. tunaambiwa wapendeni adui na waombeeni wanaowaudhi.
Nabii GeorDavie ni mtumishi wa Mungu na huduma yake ipo Arusha Kisongo na ni Kilomita 13 kutoka mjini Arusha njia ya kwenda Dodoma na ni baada ya uwanja wa ndege tu. Huduma yake inaitwa "Ngurumo Ya Upako" na ni kati ya watumishi wa Mungu ambao wana Upako wa kipekee amabo umekuwa gumzo kwa watu wengi. Mungu ana njia nyingi sana ya kujidhihirisha kwa wanadamu na kama wakati wa zamani za kale aliwatumia watu mbali mbali kwa namna tofauti na hivyo hivyo kwa Nabii GeorDavie.
Eti kuna mtu alimnyang'anya mke....Huyo anayedai alichukuliwa mke alikuwa wapi??? watu wengine wakipata wake wazuri kazi kuwapiga ovyo na kuwatesa...mwanamke ameamua kujishika kisawasawa na Mungu wake. oooh nimenyang'anywa!!! alifikiri mke ni kibega!! ulipokuwa unampiga na kumchoma moto na kumpeleka police ulifikiri ni mtumwa!!!!
Mkamate Mungu wako kisawasawa mama!!! acha waseme mpaka wafe!!! Tena huyo jamaa asipotubu cha moto atakiona manake Mungu huwa anaangalia penye haki. Hivi GeorDavie ni mtu wa kumchukua mke wa Mtu??? kwa taarifa yake hakunyang'anywa na GeorDavie alinyang'anywa na Mungu...ajifunze jinsi ya kumtunza mwanamke, kumhudumia na kumpenda kwa dhati, Haoni hata aibu??!!! Mwanamke ni almas baba! sifa ya mwanamke ni abembelezwe!!
Kama ameshajifunza vya kutosha amwombe Mungu amrudishie mke wake. Watu wanaongea na kumsema mtu wa Mungu vibaya wakati hawajui ukweli uko wapi! Kwa hiyo alikuwa anampiga akifikiri kwa kuwa anamjua Mungu ataacha kuondoka au ataacha kusali. Tena ninamshauri huyo mwanamke asije akaondoka kwenye hiyo huduma hata angemrudia huyo mume!
Mkamate Yesu mama wa Upako!!! Simama Imara, kishujaa maneno yasikurudishi nyuma. walitaka wakukute kwenye nyumba ya mganga wa kienyeji. Sugua goti mama sijawahi kumwona aliyemkimbilia Mungu akiaibika!
Kwanza hueleweki, Jina lako la kike, lakini unaongea kibabe sana, nadhani wewe una pepo, Huyo mungu anayechukua wake za watu ni kabila gani? kutokana na jinsi ulivyojieleza, direct wewe ndo muhusika, unajaribu kufuta midomo kwa mikono baada ya kula unasahu kuwa harufu ipo. nani aliekwambia kuwa mwanamke ni almas? labda ungesema ana almas ungeeleweka.
Najua washirika wengi wa ngurumo hamjui maandiko kwakuwa huyo mshikaji wenu hana muda wa kuwafundisha, mnachojua ni pepo toka, bila kuwa na Neno, hata kama unaupako mpaka unapaa ni bure.
Viviane. kutoa pepo, na miujiza si kigezo cha utakatifu, linalotumika pale ni jina la Yesu, There is power in the name not in the person who use it, je hujasoma haya maandiko? (" Sio wote waniitao bwana bwana...............".) (Watesema, "tulitoa pepo kwa jina lako ..................")
<br /><font color="#000080"><b>Kwanza hueleweki, Jina lako la kike, lakini unaongea kibabe sana, nadhani wewe una pepo, Huyo mungu anayechukua wake za watu ni kabila gani? kutokana na jinsi ulivyojieleza, direct wewe ndo muhusika, unajaribu kufuta midomo kwa mikono baada ya kula unasahu kuwa harufu ipo. nani aliekwambia kuwa mwanamke ni almas? labda ungesema ana almas ungeeleweka.<br />
<br />
Najua washirika wengi wa ngurumo hamjui maandiko kwakuwa huyo mshikaji wenu hana muda wa kuwafundisha, mnachojua ni pepo toka, bila kuwa na Neno, hata kama unaupako mpaka unapaa ni bure.<br />
<br />
Viviane. kutoa pepo, na miujiza si kigezo cha utakatifu, linalotumika pale ni jina la Yesu, There is power in the name not in the person who use it, je hujasoma haya maandiko? (" Sio wote waniitao bwana bwana...............".) (Watesema, "tulitoa pepo kwa jina lako .................."😉</b></font>
Mnajichanganya tu, wala hakuna anayemwelewa GeorDavie.... Pamoja na kulitaka jina la YESU lipitayo majina yote. Bila kufanya agano na Yesu akakukabidhi mamlaka na kukupaka mafuta utataja Jina la YESU mpaka mapovu yatakutoka....na pepo litaendelea kukutolea macho. Kabla hamjasema kitu hakikisheni mna uhakika na mkisemacho.Kwanza hueleweki, Jina lako la kike, lakini unaongea kibabe sana, nadhani wewe una pepo, Huyo mungu anayechukua wake za watu ni kabila gani? kutokana na jinsi ulivyojieleza, direct wewe ndo muhusika, unajaribu kufuta midomo kwa mikono baada ya kula unasahu kuwa harufu ipo. nani aliekwambia kuwa mwanamke ni almas? labda ungesema ana almas ungeeleweka.
Najua washirika wengi wa ngurumo hamjui maandiko kwakuwa huyo mshikaji wenu hana muda wa kuwafundisha, mnachojua ni pepo toka, bila kuwa na Neno, hata kama unaupako mpaka unapaa ni bure.
Viviane. kutoa pepo, na miujiza si kigezo cha utakatifu, linalotumika pale ni jina la Yesu, There is power in the name not in the person who use it, je hujasoma haya maandiko? (" Sio wote waniitao bwana bwana...............".) (Watesema, "tulitoa pepo kwa jina lako ..................")
Mhe. Nabii GeorDavie ni mtumishi wa Mungu anaijua kazi yake, anajiamini, ni shujaa, anajitambua na anaielewa kazi yake, anamwakilisha Mungu ipasavyo, anamwelewa boss wake vizuri na hana mashaka naye! Hajali maneno wala haogopi vita kwa kuwa anamwelewa Mungu aliyemwita na kumtuma! Kama tujuavyo shetani ni mpinzani wetu hivyo kurusha makombora ni kitu cha kawaida! Maelfu ya watu yameshuhudia matendo makuu ya Mungu, mara nyingi shuhuda zimekuwa zikiwekwa kwenye Radio ya ya Ngurumo FM Hata hao wakina Channel na watumishi wote waliokengeuka kwa sababu zao wanazojizua walishuhudia, tena walikuwa hawamjui Mungu lakini wamefungua makanisa. Ikiwa wanakufuru matukufu ya Mungu na kusema ni Nguvu za giza je wao wanatumia nini na wamejifunzia pale. Tena channel alishuhudia na kusema upako huu ni mtaji kwangu! Wivu ni wa nini watu wa Mungu??? Mara ooh kuna mwanamke Alifunga macho na alipofungua akaona nyoka mara akafa.... Inaingia akilini???tunaomba kumjua huyo mwanamke ayelikufa na ushahidi....ni uongo wa ibilisi jamani nendeni mkajionee matukufu ya Mungu...shetani anaharibu kazi ya Mungu lakini ameshindwa.... Kazi ya Mungu inasonga mbele!!! Mnashangaa misafara na magari ya kifahari, Mungu ni tajiri atumie hata ndege za angani kumtukuza Mungu!!! Eti anaitwa mheshimiwa sasa kama mafisadi wanaitwa waheshimiwa vipi watumishi wa Mungu!!! Mimi ninasema GeorDavie amemwelewa Yesu na ndiye mtumishi anayemwakalisha Mungu ipasavyo, hivi mimi kama ninatembea peku na ninakuambia Mungu ni tajiri anaweza kukusaidia kiuchumi utanielewa kweli!!! unajua mtu ajionavyo ndivyo alivyo. Ukimwona Mungu unayemwamini hawezi kuponya, kwako kitu kama hicho kitabaki kuwa story, ukiona Mungu unayemwamini anamiliki mbinguni na kutawala duniani na mamlaka alishatupatia ndivyo itakavyokuwa kwako. Wengi hapa wamebaki kumuhukumu na kumkatisha tamaa kwa kazi anayoifanya, na kupakaza mambo ambayo hayana maana. Ila kwa muelewa inaonyesha wazi ni maadui, wivu, chuki kwani sielewi kwanini kinawauma sana. Kama kweli mnampenda Mungu na mnamjua Mungu kwanini msimwombee mnampiga vita yeye ni mwanadamu kama wanadamu wengine, Wengi walisema anatumia nguvu za giza wakafunga na kukemea na kuharibu ikaishia GeorDavie kuinuliwa nao wakashushwa! Mwacheni Mungu aitwe Mungu! Mungu akimpenda mtu na kumchagua afanye kazi yake atamtumia mpaka atakapomaliza haijalishi chochote! Yeye ndiye atakayemhukumu na wala sio mwanadamu! Mungu anaweza kumtumia mtu yeyote kwani anaangalia utayari wa mtu alionao, Kweli GeorDavie ni shujaa katika mashujaa otherwise angekuwa mtu wa kawaida katika vita zote alizopitia angekimbia na kumwaibisha Mungu!!! Lakini yeye anasonga mbele akicharaza mapepo!! Mungu anawapa watu karama tofauti, Na maandiko yako wazi, alisema wengine ni Manabii, mitume, wachungaji, waalimu na wainjilist kama yeye amepewa upako wa Kinabii wivu niwa nini wanadamu??? hamna jema. Mtumishi akitembea na Nguvu za Mungu mnasema hajaitwa, akiwa na nguvu za Mungu mnasema anatumia nguvu za giza lipi jema kwenu!!! Acheni kumnyoshea mtumishi wa Mungu kidogo, angekuwa hajatumwa tangu mmeanza kumpiga vita ametikisika??!! huduma imekufa??? kitu cha Kimungu hata upambane vipi huwezi kukiharibu!!! Hamtamweza Nabii huyu mpaka Mungu akamilishe kusudi lake aliloweka ndani yake!!! haijalishi punda amechafuka au amelowana lazima safari aimalize na kusudi la Mungu litimie! Lakini ole wake yule ambaye hakumsaidia punda kukamilisha kusudi la Mungu kwa wanadamu! je umehusika kufanya nini?? kumchafua, kumwangusha, ulimlisha, ulimtemea mate, ulimpaka marashi?? ulishiriki vipi kuhakikisha kazi ya Mungu inasonga mbele?? Mungu kumtumia mwanadamu hamaanishi ni malaika! Shida watu hawasomi maandiko na kuelewa neno la Mungu. Nchi yetu hii inanishangaza, kazi kupinga watumishi wa Mungu na kuwaombea mabaya huku wakiwainua watumia mizizi waliojaa udanganyiifu! Nabii akiwaambia huku siko wanakimbilia hawamtaki Yesu! sasa wanaanza kulalamika ooh tulidanganywa...Tafuteni uso wa Mungu wanadamu na kumwabudu yeye pekee dunia hii haina maana na ni ubatili mtupu!! Mwangalie GeorDavie amemwinua Yesu na Yesu akamwinua sasa mnatatanika!! kwakuwa mlijua waganga ndio wanaweza kutajirisha mara ooh ni mnaigeria!! Aibu kwetu! Mimi ninamwinua Mungu na Mungu wangu yuko juu na mimi niko juu! Nitasimulia habari zake nikiwa ndani ya Helikopta!!
Eti kuna mtu alimnyang'anya mke....Huyo anayedai alichukuliwa mke alikuwa wapi??? watu wengine wakipata wake wazuri kazi kuwapiga ovyo na kuwatesa...mwanamke ameamua kujishika kisawasawa na Mungu wake. oooh nimenyang'anywa!!! alifikiri mke ni kibega!! ulipokuwa unampiga na kumchoma moto na kumpeleka police ulifikiri ni mtumwa!!!!
Mkamate Mungu wako kisawasawa mama!!! acha waseme mpaka wafe!!! Tena huyo jamaa asipotubu cha moto atakiona manake Mungu huwa anaangalia penye haki. Hivi GeorDavie ni mtu wa kumchukua mke wa Mtu??? kwa taarifa yake hakunyang'anywa na GeorDavie alinyang'anywa na Mungu...ajifunze jinsi ya kumtunza mwanamke, kumhudumia na kumpenda kwa dhati, Haoni hata aibu??!!! Mwanamke ni almas baba! sifa ya mwanamke ni abembelezwe!!
Kama ameshajifunza vya kutosha amwombe Mungu amrudishie mke wake. Watu wanaongea na kumsema mtu wa Mungu vibaya wakati hawajui ukweli uko wapi! Kwa hiyo alikuwa anampiga akifikiri kwa kuwa anamjua Mungu ataacha kuondoka au ataacha kusali. Tena ninamshauri huyo mwanamke asije akaondoka kwenye hiyo huduma hata angemrudia huyo mume!
Mkamate Yesu mama wa Upako!!! Simama Imara, kishujaa maneno yasikurudishi nyuma. walitaka wakukute kwenye nyumba ya mganga wa kienyeji. Sugua goti mama sijawahi kumwona aliyemkimbilia Mungu akiaibika!
Acha kukuza maneno. Ninachojua jamaa alikuwa anampiga mke wake na alijaribu kumchoma moto. Watoto alikataa wasichukuliwe, mwanamke alifanya jitihada zote bila mafanikio. Hilo la kusema amekimbilia ndoa ya mtu mwingine unalijua wewe. Ninachojua huyo mwanamke hajaolewa tena.
Acha kukuza maneno. Ninachojua jamaa alikuwa anampiga mke wake na alijaribu kumchoma moto. Watoto alikataa wasichukuliwe, mwanamke alifanya jitihada zote bila mafanikio. Hilo la kusema amekimbilia ndoa ya mtu mwingine unalijua wewe. Ninachojua huyo mwanamke hajaolewa tena.
Mna maanisha nini kusema analindwa? Mimi naona hiyo ni style yake. Ni kama vile mtu anavyoamua kutembea kwake azungukwe na wazee au vijana au watoto. Kama angekuwa analindwa basi wale watu wange beba bunduki, bastola, mashoka, rungu, panga n.k. kwani ulinzi maana yake nini? mmesahau neno la Mungu linalosema Mungu asipoilinda nyumba wailindao wanakesha bure? Sijawahi kumwona mlinzi bila silaha! Mimi ninaona hiyo ni style yake na hanisumbui. Ni kama vile mtu kuamua kuvaa mayeno au bukta au kunyoa au kufuga nywele. Sielewi kwanini mambo kama hayo yanawaumiza vichwa na kumfuatilia jinsi hii. Hata Yesu mwenyewe alipenda kutembea na wale Mitume 12.Mnafikiri alikuwa anaogopa kutembea pekee yake? hakumwambia Petro arudishe upanga...vita vile sio vya nyama na damu? Ilibidi iwe vile ili maandiko yapate kutimia otherwise wasingeweza chochote? Kwa akili zenu GeorDavie alivyoshujaa anaweza kuogopa wanadamu atafute watu wa kumlinda? Sioni point hapo mpendwa!Mtu yeyote ambaye ni "Mtumishi wa Mungu" kwa maana yake halisi hahitaji kulindwa na mabaunsa! Yesu ambaye ni Mungu kweli alipanda punda wala hakutafuta ufahari wowote. Sasa huyu mtu aitwaye georgedavie nakubaliana na wote waliosema ni "nabii wa uongo." Kipekee sina ushahidi juu ya mengine yaliyosemwa lakini kama ni kweli akatubu.
Eti kuna mtu alimnyang'anya mke....Huyo anayedai alichukuliwa mke alikuwa wapi??? watu wengine wakipata wake wazuri kazi kuwapiga ovyo na kuwatesa...mwanamke ameamua kujishika kisawasawa na Mungu wake. oooh nimenyang'anywa!!! alifikiri mke ni kibega!! ulipokuwa unampiga na kumchoma moto na kumpeleka police ulifikiri ni mtumwa!!!!
Mkamate Mungu wako kisawasawa mama!!! acha waseme mpaka wafe!!! Tena huyo jamaa asipotubu cha moto atakiona manake Mungu huwa anaangalia penye haki. Hivi GeorDavie ni mtu wa kumchukua mke wa Mtu??? kwa taarifa yake hakunyang'anywa na GeorDavie alinyang'anywa na Mungu...ajifunze jinsi ya kumtunza mwanamke, kumhudumia na kumpenda kwa dhati, Haoni hata aibu??!!! Mwanamke ni almas baba! sifa ya mwanamke ni abembelezwe!!
Kama ameshajifunza vya kutosha amwombe Mungu amrudishie mke wake. Watu wanaongea na kumsema mtu wa Mungu vibaya wakati hawajui ukweli uko wapi! Kwa hiyo alikuwa anampiga akifikiri kwa kuwa anamjua Mungu ataacha kuondoka au ataacha kusali. Tena ninamshauri huyo mwanamke asije akaondoka kwenye hiyo huduma hata angemrudia huyo mume!
Mkamate Yesu mama wa Upako!!! Simama Imara, kishujaa maneno yasikurudishi nyuma. walitaka wakukute kwenye nyumba ya mganga wa kienyeji. Sugua goti mama sijawahi kumwona aliyemkimbilia Mungu akiaibika!
Kuna upako ndani yako kweli mbona nashindwa kutofautisha majibu yako na ya wale wadada wa taarabu uswahilini, tofauti hapo ni kutaja jina la Mungu basi. Turudi Kwa Mchungaji wenu nabii mtakatifu mheshimiwa. mbona hafanani kabisa na mtume anaye muwakilisha yaani Yesu Kristo ambaye ni mwana wa Mungu lakini hakuhitaji kabisa makuu. wakati mchungaji wenu amejipachika majina ishirini yasiyo na maana. Bwana Yesu alikataa hata kuitwa mwalim, wakati mchungaji wenu anatembelea magari ya kifahali akiwa na walinzi akitandikiwa carpet ili apite, Biblia inatuambia tuwe na Kiasi hata kama unacho kingi lazima uwe na kiasi ili utofautiane na watu wa mataifa. Bwana Yesu alitembea kwa miguu kijiji hadi kijiji hakutumia hata punda achilia mbali farasi waliokuwa ndio usafiri bora kipindi chake. na kwa nini mtumishi wa Mungu awe na kasha kiasi hicho unafikili ni chuki za watu kweli. Mbona akina mwakasege wanaheshimika wakati wanatangaza injili hiyo hiyo. lazima kuna kitu juu ya huyu anayejiita nabii mtakatifu
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Nabii
je huduma yake ipo wapi ?