Geor Davie ni nani?

Geor Davie ni nani?

Watumishi wa Mungu ktk biblia walilingwa kwa kumuhubiri Kristo Yesu( injili) na walitambulika kwa miujiza waliyokuwa wakifanya hadi ikafikia hatua ya watu kutaka kuwasujudia kama miungu ila walikataa na kujinyenyeza zaidi. Ila sio huyu baba yako anayelaumiwa kwa wizi, kufarakanisha ndoa, miujiza fake na ya kubahatisha, uzinzi na usanii mwingi. Kama ni Mtumishi wa Mungu aliye hai walinzi wa nini?. Je lipi kubwa alilofanya huyo nabii anayewatabiria wanawake wachumba ati Dada umelia sana mungu anakwenda kukupa mume wakati akijua kuwa nowadays we have relationship crisis lipi alilobalo la kumzidi mtu wa Mungu Moses Kulola ambaye hakuwahi kuwa hata na yelo kwake wa kumlinda( apumzike kwa amani).

Ninaimani hatakanyaga tena Mwanza kwa Jina la Yesu mfufuka namfungia hapo Arusha na hata toka hapo mpaka kazi yake itakapofikia mwisho . Nasema haya kwa mafuta halisi ya kinabii . Amen.
Hahaha Mtumishi kwa kweli umenichekesha yani hutaki ''Upako Show'' Mwanza hahaha sababu haziiti huduma yeye anita Show kama Mazingaombwe vile Dah! Bila macho ya Rohni anakuingiza mkenge ukiwa unaona hivi-hivi.
 
Hahaha Mtumishi kwa kweli umenichekesha yani hutaki ''Upako Show'' Mwanza hahaha sababu haziiti huduma yeye anita Show kama Mazingaombwe vile Dah! Bila macho ya Rohni anakuingiza mkenge ukiwa unaona hivi-hivi.

Alialikwa kipindi fulani hivi na wenyeji wake maaskofu akaacha amewafundisha maisha ya kibalozi hadi gari zao zikawa zinapepea bendera ambayo sikuiona vizuri mwisho wa siku wakamstukia ile mbaya kuwa ni tapeli hawana hamu naye tena wala wakazi wake . Sijui nani atamualika tena.
 
Alialikwa kipindi fulani hivi na wenyeji wake maaskofu akaacha amewafundisha maisha ya kibalozi hadi gari zao zikawa zinapepea bendera ambayo sikuiona vizuri mwisho wa siku wakamstukia ile mbaya kuwa ni tapeli hawana hamu naye tena wala wakazi wake . Sijui nani atamualika tena.
Kweli waliingizwa mkenge na me nakuhakikishia hamna kitu pale zaidi ya utapeli na u argent wa kuzimu.
 
(Al islam dinul hak)

Uislam ndio.dini ya ukweli...hakuna hizi propaganda zakudanganyana


Wajinga ndio waliwao...Yani kuna maskini wa hela...ila hawa wenzetu wa mlengo wapili ni maskini wa akili....manabiii na mutume hahahahaha huyo bado kugeuka kibwetele...na mtakufa bila kelele
 
kama mungu anayemtumikia hawezi kumlinda hadi atumie fedha kujilinda huyo no mungu feki. nanyi mnaomfuata jiulizeni tena kama hamjaliwa.
 
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Nabii
je huduma yake ipo wapi ?

GEORDAVIE1.jpg


=============


============
Nenda google utapata kila kitu mkuu..
 
Wakuu hivi ukuiwa mtumishi wa Mungu unatakiwa kua masikinii!????

kama ndivyo basi biblia haina maana kutuambia Mungu aliwabarik kina suleiman,Yusuph n.k
 
kama mungu anayemtumikia hawezi kumlinda hadi atumie fedha kujilinda huyo no mungu feki. nanyi mnaomfuata jiulizeni tena kama hamjaliwa.

ulipo wewe umeshaliwa mara ngapi???....angalia channel 10 leo saa 2 usiku halafu urudi hapa na akili zako za kupewa...

kama upo dar jumapili hii tar3 atakua hapo kawe viwanja vya tanganyika parkers..
 
ulipo wewe umeshaliwa mara ngapi???....angalia channel 10 leo saa 2 usiku halafu urudi hapa na akili zako za kupewa...

kama upo dar jumapili hii tar3 atakua hapo kawe viwanja vya tanganyika parkers..

hahahhaa, haya sasa waliwa kwa waliwa!
 
Wakuu nasikia kazindua ati jina la Mungu..."Yehova Shagy"...kwi kwi kwi....Ni vituko huko kisongo jamani......

Huyu mtu anakoelekea atawachoma moto hao waumini wake.......
 
Hivi ungekuwa wewe ndo uliwaumba binadamu si ungeshawachoma mishkaki? Huoni mambo yanayoendelea yanaweza kukutia kichaa?

hiyo ni lugha ya picha. Kujitia wazimu= kufanya biashara kichaa aka fanfa!
Kwahiyo saivi mungu ana wazimu?
 
Mtaendelea kumpelekea hivyo visent vyenu tu huku akitajitajirisha kwa ujinga wenu.Eti nabii,chunguza mkuu au sali huko huko kwenu utapewa tu hicho unachoomba. Matapeli wa dini na uganga wa kienyeji wamejaa kila kona uijuayo
 
Waumini wote hao wakitoa sadaka walau buku 10@ unadhani anapata sh ngapi? Na hana gharama za uendeshaji apart from luku tuuu! Hadi kanisa wanafagia waumini

waumini 100 x 10,000/-
waumini 200 x 5,000/-
waumini 200 x 2,000/-
waumini 200 x 1,000/-
Wanapata wapi hizi pesa za kumudu gharama hizi!!!?
 
Waumini wote hao wakitoa sadaka walau buku 10@ unadhani anapata sh ngapi? Na hana gharama za uendeshaji apart from luku tuuu! Hadi kanisa wanafagia waumini

waumini 100 x 10,000/-
waumini 200 x 5,000/-
waumini 200 x 2,000/-
waumini 200 x 1,000/-


Sasa wewe calculation wazijua si uanzishe na wewe lako...unampigia hesabu mwenzio tu why?
 
Back
Top Bottom