Geor Davie ni nani?

Geor Davie ni nani?

Ivi ndugu zetu mna akili gani mpaka mnaibiwa na hawa watu?
 
Wajinga ndio waliwao[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Mungu amembariki sana Hutu nabii no Tajiri wakutupwa .Anamiliki Chopa magari ya kifahari achilia mbali mahekalu pale Arusha .Wamadhabahuni wanakula Madhabahuni
 
Mtu anahubiri huku analindwa na wanadamu (KK SECURITY) yesu ana kazi gani?? Si ndio jukumu lake hilo....je nan anaemdhulu mtumishi wa bwana......au ana mambo anafanya hajiamin.
Pili sadaka zinatupwa chini ilihal mungu alisema kinachotolea mkono wa kushoto......wajuzi watanisaidia...
Iweje ulazimishe kipaji..yan hata kile kipaji cha kuhubiri hana...huwa unasambazia watu romantic voice tu pale hakuna cha zaidi
 
Mtu anahubiri huku analindwa na wanadamu (KK SECURITY) yesu ana kazi gani?? Si ndio jukumu lake hilo....je nan anaemdhulu mtumishi wa bwana......au ana mambo anafanya hajiamin.
Pili sadaka zinatupwa chini ilihal mungu alisema kinachotolea mkono wa kushoto......wajuzi watanisaidia...
Iweje ulazimishe kipaji..yan hata kile kipaji cha kuhubiri hana...huwa unasambazia watu romantic voice tu pale hakuna cha zaidi[emoji35]
 
Huyu ni baba ya director maarufu wa bongo fleva, nisher ambae anajiita usher raymond wa tanzania, anamiliki magari ya kifahari, kwa taarifa tu mkuu hata pale hemani anapo hubiri si kwake, amepanga tu hapo..maisha yake ni ya kifahari haswa kutokana na sadaka kubwa wanazotoa waumini wake kuna kipengele cha friend's of gioedivie amabpo ili uwe friend wake kuna ada ya 120,000/= baada ya hapo kila mwezi lazima kuna fungu unatoa unapatiwa unabii wako.. kwake yeye anakuambia ukijiconect na yeye tu hakika huwezi kuwa maskini, hapo sasa akili kichwani kwako.
 
Najaribu kuwaza kwa sauti....

Hivi huko mbinguni kutafikika kweli
 
Ukikuta mchungaji anahubiri pesa utajiri na magari ujue ni wale wale waliotabiriwa. Mtu wa Mungu kweli kweli atawaelekeza waumini wake juu ya ufalme wa mungu na sio ufalme wa duniani. Nabii hupimwa kwa kanuni au sheria kumi za mungu, na km amepungua ktk hilo hakuna asubuhi kwake, amesema Isaya.
 
Ukikuta mchungaji anahubiri pesa utajiri na magari ujue ni wale wale waliotabiriwa. Mtu wa Mungu kweli kweli atawaelekeza waumini wake juu ya ufalme wa mungu na sio ufalme wa duniani. Nabii hupimwa kwa kanuni au sheria kumi za mungu, na km amepungua ktk hilo hakuna asubuhi kwake, amesema Isaya.
Haha haha well said kijana
 
Ukikuta mchungaji anahubiri pesa utajiri na magari ujue ni wale wale waliotabiriwa. Mtu wa Mungu kweli kweli atawaelekeza waumini wake juu ya ufalme wa mungu na sio ufalme wa duniani. Nabii hupimwa kwa kanuni au sheria kumi za mungu, na km amepungua ktk hilo hakuna asubuhi kwake, amesema Isaya.
Hili ni jibu Kamili.
 
Na yule anaetangazwa star tv kila usiku halafu kwenye ile meza wanayohubiria kuna chata ya pembe sita za freemason na ile alama inazoom kwenye screen..Ni msh..z wa wapi huyu!?
 
kufuruu.jpg
hawa watu, sijui inakuwaje watu wanaamini namna hiyo...
 
Najaribu kuwaza kwa sauti....

Hivi huko mbinguni kutafikika kweli
Ni rahisi sana kufika kama ukipata MTU wa kukufundisha kutembea. Au hata jirani wa kukununulia ka baiskeli ka mbao ( ka matairi matatu) , na ukawa unapendelea kunywa maziwa kwa wingi ili ngozi, nyama na mifupa yako iwe imara kwa ajili ya kula chakula cha uzima.

NB; Kristo Yesu alisema nira yangu ni nyepesi
 
Wanadanganywa kirahisi kwa sababu hawasomi maandiko. Laiti km wangesoma maandiko yanasema nini juu ya wachungaji wa aina hii wasingepoteza mda mwingi hivo. Wakristo wengi huwaamini viongozi wao kuliko hata kristo mwenyewe. Ktk biblia kila kitu kimewekwa wazi kabisa namna Mungu anavotaka aabudiwe, na kwa siku ipi, kutoa sadaka/zaka na viwango pia vimeandikwa. Namna ya kuomba , namna ya kumshukuru Mungu, dalili za kuja kwa kristo nk nk. Sijui watu wanachanganyikiwa nini hapo.
 
Mtu anahubiri huku analindwa na wanadamu (KK SECURITY) yesu ana kazi gani?? Si ndio jukumu lake hilo....je nan anaemdhulu mtumishi wa bwana......au ana mambo anafanya hajiamin.
Pili sadaka zinatupwa chini ilihal mungu alisema kinachotolea mkono wa kushoto......wajuzi watanisaidia...
Iweje ulazimishe kipaji..yan hata kile kipaji cha kuhubiri hana...huwa unasambazia watu romantic voice tu pale hakuna cha zaidi
Hivi mkuu wewe ukiwa unatembea na wake za watu. Na unajua sio halali utakaa kizembe? Lazima ukae kww Akili wale ulio wadhulmu na kuwabia wake zao wasije kuku rudi.
 
hahaha asante sana je wewe huna cha kusema kuhusi hili!? unitoe hofu hii!?
ah mkuu wenyewe wanasemaga usimguse wala kumjadili masihi wa Bwana yani hata kumuhoji marufuku wanasahau kuwa tumeambiwa tuzijaribu hizo roho sa sina uhakika kama kuhoji pia imo katika kupata taarifa ili tupime au haipo. Wakali sana wakihojiwa mkuu
 
huwezi kumuona Mungu kwanjia hiyo ndugu,...
mimi simtetei geodavi,...
ila uwez kumuona Mungu,.kwa kujifungia ndani na kusoma bible,..
mkili Yesu awe bwana na mwokoz wa maisha yako,..
utende njia zake sikupaszo,...yaani usitende dhambi,..
then ubatizwe kwa maji mengi,..utakua upo ktk njia sahihi,..
then bible inasema msiache kukusanyika kma ilivyo desturi,...
yaan kwenda church na kuonyana kwa tenzi na zaburi,..
ili uishi ktk misingi ya Mungu,...
Maji mengi nani kwakwambia ndio sahihi nionyeshe mstari.kama hutaforce king
 
Back
Top Bottom