Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Aisee huyu dingi nisaidieni namba ya huyu nabii mkuu !! Nasikia upepo umehamia kisongo .anagawa pesa anagawa na magari !! Nampataje huyu ?
Akikupa pesa wewe utampa nini?Aisee huyu dingi nisaidieni namba ya huyu nabii mkuu !! Nasikia upepo umehamia kisongo .anagawa pesa anagawa na magari !! Nampataje huyu ?
Ingia youtube jirekodi huku ukimpamba hadi sifa zimfikie, usiache kutaja au kuandika namba za simu utaitwaAisee huyu dingi nisaidieni namba ya huyu nabii mkuu !! Nasikia upepo umehamia kisongo .anagawa pesa anagawa na magari !! Nampataje huyu ?
Aliyekwambia huyo ni mtu mzima nani? Angekuwa mtu mzima na libaba wale asingeleta mawazo ya kishogashoga.Hizi ndo akili za wabongo, mtu mzima, libaba lizima linawaza kuomba pesa kwa libaba lenzake!
Umeshasema yupo kisongo. NendaAisee huyu dingi nisaidieni namba ya huyu nabii mkuu !! Nasikia upepo umehamia kisongo .anagawa pesa anagawa na magari !! Nampataje huyu ?
Atampa sifaAkikupa pesa wewe utampa nini?
Nifafanulie hapa mkuuLAKINI NASIKIA HUWA ANAWEKA MAFUTA SIKIONI UWE MAKINI BRO
Twende kwa nabii kesho...akatuonekanieIngia youtube jirekodi huku ukimpamba hadi sifa zimfikie, usiache kutaja au kuandika namba za simu utaitwa