Geordavie au nabii mkuu ukimsifia tu akakusikia unaruka na milioni 3. Upepo umehamia Kisongo

Geordavie au nabii mkuu ukimsifia tu akakusikia unaruka na milioni 3. Upepo umehamia Kisongo

Hizi ndo akili za wabongo, mtu mzima, libaba lizima linawaza kuomba pesa kwa libaba lenzake!
Unakurupuka unamihemko ya kitoto tukikusachi hapo hata teni Moja huna unajula Kwa mamaako unakuja hapa kujifanya unazo saaana!
 
Aisee huyu dingi nisaidieni namba ya huyu nabii mkuu !! Nasikia upepo umehamia kisongo .anagawa pesa anagawa na magari !! Nampataje huyu ?
Ingia youtube jirekodi huku ukimpamba hadi sifa zimfikie, usiache kutaja au kuandika namba za simu utaitwa
 
Hizi ndo akili za wabongo, mtu mzima, libaba lizima linawaza kuomba pesa kwa libaba lenzake!
Aliyekwambia huyo ni mtu mzima nani? Angekuwa mtu mzima na libaba wale asingeleta mawazo ya kishogashoga.
Huyo siyo mzima elewa, wazima hawawazi hivyo.
 
Aisee huyu dingi nisaidieni namba ya huyu nabii mkuu !! Nasikia upepo umehamia kisongo .anagawa pesa anagawa na magari !! Nampataje huyu ?
Umeshasema yupo kisongo. Nenda
 
Huyu Geordavie naona ni mjasiliadini aliyeamua kutumia vijana wenye njaa na akili za pimbi kujitangaza na kusaka ama kuongeza umaarufu! Ukimfuatilia utaona ana ugonjwa wa kupenda kusifiwa
 
Ingia youtube jirekodi huku ukimpamba hadi sifa zimfikie, usiache kutaja au kuandika namba za simu utaitwa
Twende kwa nabii kesho...akatuonekanie
 
Back
Top Bottom