George Ambangile asaini rasmi wasafi fm

George Ambangile asaini rasmi wasafi fm

Huyo jamaa namkubali, ila tulichozoea sisi mashabiki tusio na vituo maalum tunataka mtu anapoongea pointi ya msingi aachwe amalize ndio mpige tangazo. Sio mtu anaongea then unasikia jingle ya ghafla au tangazo. (hiyo tabia wanayo njia panda ya cocacola na kawe)
Tunategemea waje na kitu kipya cha kumjali client.
 
Hii ngoma inayovuma sana muda si mrefu itapasuka tu,labda mwenyewe arudi huko dubai kuja kuisimamia
 
Mchambuzi fundi wa soka ninayemkubali hapa Tanzania kwa uchambuzi wa kina wamichezo kutoka kituo Cha magic fm George ambangile rasmi amesajiliwa na wasafi media aka real Madrid wa bongo kwa kuchukua nyota wakali wa media tofautitofauti.Natoa pongezi za dhati kwa kijana mond bin laden kwa kuliona hili jembe.
Sahihi kabisa maana wasafi mwaka huu wamejipanga sana tena sana na hopeful watakuwa big media in Tanzania soon oooooooh sorry kumbe wameshakuwa maana wanapatikana Africa nzima rather than any media in Tanzania
 
Huyo jamaa namkubali, ila tulichozoea sisi mashabiki tusio na vituo maalum tunataka mtu anapoongea pointi ya msingi aachwe amalize ndio mpige tangazo. Sio mtu anaongea then unasikia jingle ya ghafla au tangazo. (hiyo tabia wanayo njia panda ya cocacola na kawe)
Tunategemea waje na kitu kipya cha kumjali client.
Mkuu, hata mimi huwa nakereka sana, kwenye vipindi vinavyokuwa LIVE, viwe Radio au TV. Mtu anaongea, watu wanafuatilia, mara wanaruhusu simu. Mpiga simu, wakati mwingine ataongea tofauti kabisa na anachoongea mchangiaji. Matokeo yake, akirudishwa aliyekuwa anaongea, radha yote iliyokuwepo inapotea.
 
Back
Top Bottom