Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,339
- 5,112
Huyo jamaa namkubali, ila tulichozoea sisi mashabiki tusio na vituo maalum tunataka mtu anapoongea pointi ya msingi aachwe amalize ndio mpige tangazo. Sio mtu anaongea then unasikia jingle ya ghafla au tangazo. (hiyo tabia wanayo njia panda ya cocacola na kawe)
Tunategemea waje na kitu kipya cha kumjali client.
Tunategemea waje na kitu kipya cha kumjali client.