Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,339
- 5,112
wewewe acha utani na George ambangile aka baba George.. anajua sanaaaa..kamsikilize ndo utajua kwanini sisi tunamjua..Huyo itakua ni wewe mwenyew. Mbona hajulikan?
Kwani unateseka?We jamaa thread zako nyingi ni za "DIAMOND, WASAFI, RAYVANY", na we unaonekana umesajiliwa na Diamond Platnum.
Unajitahidi kuwapa PROMO.
Wewe ndo umjui ila kwa wafuatiliaji wa soka wa hapa bongo wanamjua vizuri Sana siku moja jaribu kumsikiliza ndo utajua kwanini watu wengi wanapenda.
Sahihi kabisa maana wasafi mwaka huu wamejipanga sana tena sana na hopeful watakuwa big media in Tanzania soon oooooooh sorry kumbe wameshakuwa maana wanapatikana Africa nzima rather than any media in TanzaniaMchambuzi fundi wa soka ninayemkubali hapa Tanzania kwa uchambuzi wa kina wamichezo kutoka kituo Cha magic fm George ambangile rasmi amesajiliwa na wasafi media aka real Madrid wa bongo kwa kuchukua nyota wakali wa media tofautitofauti.Natoa pongezi za dhati kwa kijana mond bin laden kwa kuliona hili jembe.
Ndo mfalme wa Bongofleva worldwideWe jamaa thread zako nyingi ni za "DIAMOND, WASAFI, RAYVANY", na we unaonekana umesajiliwa na Diamond Platnum.
Unajitahidi kuwapa PROMO.
Mkuu, hata mimi huwa nakereka sana, kwenye vipindi vinavyokuwa LIVE, viwe Radio au TV. Mtu anaongea, watu wanafuatilia, mara wanaruhusu simu. Mpiga simu, wakati mwingine ataongea tofauti kabisa na anachoongea mchangiaji. Matokeo yake, akirudishwa aliyekuwa anaongea, radha yote iliyokuwepo inapotea.Huyo jamaa namkubali, ila tulichozoea sisi mashabiki tusio na vituo maalum tunataka mtu anapoongea pointi ya msingi aachwe amalize ndio mpige tangazo. Sio mtu anaongea then unasikia jingle ya ghafla au tangazo. (hiyo tabia wanayo njia panda ya cocacola na kawe)
Tunategemea waje na kitu kipya cha kumjali client.