Huyu dogo sijui alikuwa kituo gani kabla ya kwenda Wasafi Radio. Ananikosha sana katika uchambuzi wake. Haegemei popote, hafuati hisia za watu.
Tofauti na wachambuzi wengine hana ubaguzi,hana timu,sio mnazi sio mkosoaji kama kina wengine.
Kabla ya kumjua huyu Edo Kumwembe ndio alikuwa top TZ na nje ni Israel Saria ila Shafii hayupo kwenye list yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa ni fundi Sana anachambua mpira mpaka wewe unaona raha.Ni mchambuzi mwenye uweledi mpaka leo sijajua jamaa ni mshabiki wa timu ipi na umuoni akionesha Hilo wachambuzi wa Tanzania inapaswa waige baadhi ya vitu kwa huyu jamaa Kama wanataka kuwa wachambuzi Bora.Huyu dogo sijui alikuwa kituo gani kabla ya kwenda Wasafi Radio. Ananikosha sana katika uchambuzi wake. Haegemei popote, hafuati hisia za watu.
Tofauti na wachambuzi wengine hana ubaguzi,hana timu,sio mnazi sio mkosoaji kama kina wengine.
Kabla ya kumjua huyu Edo Kumwembe ndio alikuwa top TZ na nje ni Israel Saria ila Shafii hayupo kwenye list yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Shafii angekuwa kwenye media ya magazeti. Kuongea si kipaji chake. Hopeless KabisaHuyu dogo sijui alikuwa kituo gani kabla ya kwenda Wasafi Radio. Ananikosha sana katika uchambuzi wake. Haegemei popote, hafuati hisia za watu.
Tofauti na wachambuzi wengine hana ubaguzi,hana timu,sio mnazi sio mkosoaji kama kina wengine.
Kabla ya kumjua huyu Edo Kumwembe ndio alikuwa top TZ na nje ni Israel Saria ila Shafii hayupo kwenye list yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dogo sijui alikuwa kituo gani kabla ya kwenda Wasafi Radio. Ananikosha sana katika uchambuzi wake. Haegemei popote, hafuati hisia za watu.
Tofauti na wachambuzi wengine hana ubaguzi,hana timu,sio mnazi sio mkosoaji kama kina wengine.
Kabla ya kumjua huyu Edo Kumwembe ndio alikuwa top TZ na nje ni Israel Saria ila Shafii hayupo kwenye list yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes alikuwa Magic FM na akina Paul Mkai na mwingine jina limenitoka. Ila Ambangile anajua na hana ushabiki maandazi. Mimi naomba wamwalike Manara ili atoe mrejesho wa January 4 maana alijimwambafy Sana, eti ni mropokoji pekee anetembelea Mercedes ya Mjerumani na akahaidi kuifanyia kufuru Yanga.