Kama ni Kuchambua huku akichomekea na maneno ya Kiingereza Kimakosa ( akichapia ) ambayo mara nyingi huwa namsikia basi George Ambangile anaweza Kuongoza.Wakuu habari,
Ni mchambuzi yupi mahiri katika uga wa mchezoo wa mpira wa miguu hii battle inamuhusisha George Ambangile kutoka Wasafi FM na Ali kamwe kutoka Azam Média
Kama Kiingereza ni tatizo Kwako kuna haja gani ya Kukilazimisha hivi na Kukikosea?George ni beast
Kuanzia leo nampa jina jipya AMBA THE GREATHilo Wala Halina mjadala ni Ambangile tu. Kuna kipindi fulani niliacha kufuatilia uchambuzi wa mpira wa kibongo niliona miyeyusho tangu nimsikie huyu mwamba nimejikuta siwezi kukosa akiwa anachambua.
Kwanza haoneshi mahaba yake tofauti na wachambuzi wengi wakibongo, La pili anachambua mpira in deep kuanzia mfumo wa team na mengine mengi yupo full package.
George ni beast iyo best umesema ww mkuuKama Kiingereza ni tatizo Kwako kuna haja gani ya Kukilazimisha hivi na Kukikosea?
Kwani ungesema tu kwa Kiswahili kuwa George Ambangile ni Bora ( Mzuri ) usingeeleweka au hata kuonekana nawe Umesoma?
Hiki Kiingereza chako cha George is beast ( badala ya George is the best ) umekitoa wapi? Ndiyo nyie mnatufanya 24/7 tunachekwa na Wakenya na Waganda ( mpaka hata na Wanyarwanda ) kuwa hatujui Kiingereza achilia mbali wale Wenyewe wenye Lugha yao Waingereza.
Acha kutetea Upuuzi tafadhali sawa?George ni beast iyo best umesema ww mkuu
Sema toka bimkubwa wake kafariki hayuko poaGeoph Lea, huyu ni full packages...takataka zote za sports zipo kichwan mwake, Basketball, football, tenesi, golf twende! Udhaifu wa Ambangile yupo deep kwenye football tu na football yenyewe current na siyo historical, ukimuuliza swali la miaka 10 au 15 iliyopita sidhan kama atakuwa na idea nalo, ila Geoph yupo full nondo kuanzia miaka hiyo ya mababu yeye anatiririka tu ma info yan!
Umeanza kumfuatilia akiwa redio ipi??Hilo Wala Halina mjadala ni Ambangile tu. Kuna kipindi fulani niliacha kufuatilia uchambuzi wa mpira wa kibongo niliona miyeyusho tangu nimsikie huyu mwamba nimejikuta siwezi kukosa akiwa anachambua.
Kwanza haoneshi mahaba yake tofauti na wachambuzi wengi wakibongo, La pili anachambua mpira in deep kuanzia mfumo wa team na mengine mengi yupo full package.
Me nimeanza kumfuatilia akiwa magic fm. Ni kweli jina lake limekuwa kubwa kutokana na media anayofanyia kazi nowUmeanza kumfuatilia akiwa redio ipi??
Kama mpaka leo angekuwepo pale magic wengi tungemuona wa kawaida tu
Hata redio yao ipo Azam piaNaona kapewa gari kwa kazi nzuri. Sijapata muda wa kumsikiliza kwa sababu sisililizi redio kabisaaaa. Ali namuona sana Azam
Ndio huyu aliyepewa pira na domondi?Wakuu habari,
Ni mchambuzi yupi mahiri katika uga wa mchezoo wa mpira wa miguu hii battle inamuhusisha George Ambangile kutoka Wasafi FM na Ali kamwe kutoka Azam Média
Anaweza kuwa yupo sahihi kwa alichotaka kukisema..Kama Kiingereza ni tatizo Kwako kuna haja gani ya Kukilazimisha hivi na Kukikosea?
Kwani ungesema tu kwa Kiswahili kuwa George Ambangile ni Bora ( Mzuri ) usingeeleweka au hata kuonekana nawe Umesoma?
Hiki Kiingereza chako cha George is beast ( badala ya George is the best ) umekitoa wapi? Ndiyo nyie mnatufanya 24/7 tunachekwa na Wakenya na Waganda ( mpaka hata na Wanyarwanda ) kuwa hatujui Kiingereza achilia mbali wale Wenyewe wenye Lugha yao Waingereza.
Ndio huyo huyoNdio huyu aliyepewa pira na domondi?