George Ambangile VS Ali kamwe ni nani mchambuzi bora wa mpira wa miguu nchini Tanzania?

Ambangile mshindanisheni na Farhan Kihamu aisee
 
Ambangile mshindanisheni na Farhan Kihamu aisee
Tukitafuta maana Halisi ya Mchambuzi wa Soka katika hawa Uliowataja hapa hakuna ambaye atakidhi Vigezo vyake ila kwakuwa tunataka tu Kuwalindia Vibarua vyao ngoja tu Tuwasifu kuwa ni Wachambuzi Bora na Mahiri nchini Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…