George Bantu

nimeona post yako mrembo huku jf natumia jina hili. nipm tuongee vizuri kwa undani kabisa
😀😀😀😀😀
 
Hahahaha! Yanini kuficha hisia mama! Bora ulivyojilipua soon habari zitamfikia lkn jiandae hata akiwa ameoa atakudanganya hajaoa. Ila akishakula kitumbua tu ndo utaanza kuishi kwa kutegemea wanasaikolojia.
Mkuu mbavu zangu
 
scorpio me utatupenda wangapi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…