George Clooney and Amal Alamuddin give us a peek into their $13 million English mansion

George Clooney and Amal Alamuddin give us a peek into their $13 million English mansion

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1654776360411.png

1654776483891.png

1654776525329.png

1654776605030.png
1654776605030.png
 

Attachments

  • 1654776428236.png
    1654776428236.png
    319.4 KB · Views: 22
Hivi kuna kuzaliwa ukiwa umebarikiwa au ni utafutaji huu huu ambao na watanzania tumafanya?💂
 
Kumbe Mapori bado wanayo,
Nilisikia wamemaliza yote kwa maghorofa
 
Duh..
Wakati nipo RoyalBerkshire, Reading nilikuwa ninasikia tu wanaishi sehemu ya wenye hela inaiitwa Sonning.
Basi siku moja kazini ICU, tukatobokezewa na George Clooney, akalazwa kwa kama siku moja na nusu, yaani ilikuewa kama huhusiki na ICU ilikuwa huruhusiwi kuingia, mimi mzee wa mitambo, nilikuwa nasema nimeiitwa kuna dharura ya kurebisha mashine za ICU, lakini unaambiwa kata kona huku, pita huku usiende huko...😖
na hiyo nusu ya siku ya pili, aliji discharge mwenyewe bila ridhaa ya madaktari.
Mara tena akarudi kwa nusu siku baada ya siku mbili, kufanya check up na taji la maua..
alipoondoka, Manesi wote na madaktari wakawa wanaponda kinoma kuwa ni mbahili hivi hata hajaleta makeki na machocolate, maana kama unawajua wazungu kwa hivi vitu....
 
Back
Top Bottom