Hata huyo UTO alishapigwa na simba bao 5 kwa bilaAmbaye alimfunga simba tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huyo UTO alishapigwa na simba bao 5 kwa bilaAmbaye alimfunga simba tano
Al ahly inatisha kwenye ma- VPASS.Al ahly hajashuka kiwango ila simba na yanga viwango vyao vimepanda kuwafakia al ahly.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiyempenda kajaaaaa.Wanajipa moyo wakati ile mechi ya Dar jamaa kipindi cha kwanza walikosa nafasi nne za wazi.Msizani wakirudi watafanya makosa yaleyale.
Wenyewe wanatuambia wamewazoea,ila inawezekana hata wao washazoea kutoka robo ndio maana wamewazoea.
Nani ana kiwewe....... ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiyempenda kajaaaaa.
Unalo hilooooo. Wewee na George Job wakoo pambaneni na Masandawanaaaaaa.
Draw hawajapanga Simba, sasa kiwewee cha nn??