George Job: Simba haiwezi mechi za mtoano

George Job: Simba haiwezi mechi za mtoano

ila kumbuka mwaka juzi vs ud songo. mwaka huu vs galax, sema vile alikuwa na nafasi ya kuwa akitoka anashuka shirikisho. na hata kwenye mechi za makundi mara nyingi huruhusu magoli mengi ugenini na kufunga machache nyumbani kwa timu nyingi. kwa msimu huu kama ingekuwa ni head to head kwenye kundi lake angemtoa USNG pake ake. . japo mwaka jana alicheza mechi za makundi za ugenini vizuri sana, sema akabweteka game ya mtoano vs kaizer chief. na hata hii ya jumapili labda ashinde kwa range ya 3. vinginevyo itakuwa ngumu sana kwake kupita.
Mkuu usipende kutumia ingekuwa ndio maana haikukuwa. Kuhusu Ud songo na Galaxy ukiangalia mechi zote hizi mbili simba walitolewa baada ya kupata matokeo mazuri sana away. Hivyo walibweteka hakufanya maandalizi yao ya kutosha kama wanavyofanyaga wakicheza kwa Mkapa. Kuhusu kufungwa magoli mengi away hilo ni tatizo kwa Simba hasa wakicheza na timu inayojua kucheza mpira wa kasi na wa nguvu wanapoteana.
 
Wachambuzi ni wengi sana mpaka atuwaelewi, kwani hatua ya makundi sio hatua ya mtoano?,ni mtoano wenye mzunguko wa mechi sita home & away.

hatua iliyopo Simba ni hatua nyepesi kwa timu yeyote kuliko hatua iliyopita.
Mmmmhh!!
 
Wachambuzi ni wengi sana mpaka atuwaelewi, kwani hatua ya makundi sio hatua ya mtoano?,ni mtoano wenye mzunguko wa mechi sita home & away.

hatua iliyopo Simba ni hatua nyepesi kwa timu yeyote kuliko hatua iliyopita.
Ni wengi tena wa hovyo hovyo ambao hawajawahi hata kuchezea timu ta taifa au club kubwa. Kule kwingine tumezoea kuona uchambuzi ulioshiba wa waliowahi kucheza mpira.. akina Alan Shearer, Ian Wright, Rio Ferdinand, Gary Liniker, Dion Dublin nk. Hapa kwetu uchambuzi tuwaachie wachezaji wa zamani kama akina Ally Mayai.
 
Mimi ni Simba damu, ila sina ninachomdai mpaka sasa huko CAF kwa hatua aliofika na kikosi chake.
Sahihi , kikosi hakipo sawa hakina strikers wazuri na wala hakina play maker (no 10) mzuri na hii inaigharimu timu sana ila the future is bright , kosa walilolifanya viongozi this season sidhani kama watalirudia
 
Mchambuzi wa michezo kutoka Wasafi Fm, George Job amesema klabu ya Simba bado haijajiandaa vema katika mechi za mtoano.

Kikosi cha Simba ilkinaweza kupambana vizuri kwenye mechi za makundi ila linapokuja suala la mechi mbili za mtoano hapo ndipo ulipo mtihani kwa Simba SC.

Kwa kauli hiyo ni wazi George Job anaona kabisa kuwa Simba inaenda kutolewa na Orlando Pirates.

View attachment 2186055

View attachment 2186056

Hawa ndio wachambuzi uchwara wa soka!! Hakuna tofauti kubwa kati ya hatua ya makundi na mtoano kwa sababu mfumo ni huo huo wa kucheza nyumbani na ugenini!! Hawa wachambuzi uchwara wanataka kutusmbia kuwa ukicheza na TP Mazembe kwa mfano hatua ya makundi utaimudu lakini ukicheza na timu hiyo hiyo hatua ya mtoano hutaiweza! Wachezaji ni wale wale, timu ni zile zile na viwanja ni vile vile, kilichobadilika ni hatua tu mwanzo ilikuwa makundi na Sasa ni mtoano!
Hawa wachambuzi uchwara wanasahau kuwa kabla ya hatua ya makundi huwa ni hatua ya mtoano! Kama Simba hawezi mtoano angefikiaje hatua ya makundi?
Ila hao ndio wachambuzi wetu, nimesema kwenye Uzi mwingine kuwa Hawa wachambuzi sifa yao kuu ni kuwa wanamiliki mdomo!!
 
Mchambuzi wa michezo kutoka Wasafi Fm, George Job amesema klabu ya Simba bado haijajiandaa vema katika mechi za mtoano.

Kikosi cha Simba ilkinaweza kupambana vizuri kwenye mechi za makundi ila linapokuja suala la mechi mbili za mtoano hapo ndipo ulipo mtihani kwa Simba SC.

Kwa kauli hiyo ni wazi George Job anaona kabisa kuwa Simba inaenda kutolewa na Orlando Pirates.

View attachment 2186055

View attachment 2186056
MASHABIKI WA GUVU MOYA MKAMUITA HUYU NI MCHAMBUZI WA MCHONGO


HATIMAYE YAMETIMIA
 
Mkuu usipende kutumia ingekuwa ndio maana haikukuwa. Kuhusu Ud songo na Galaxy ukiangalia mechi zote hizi mbili simba walitolewa baada ya kupata matokeo mazuri sana away. Hivyo walibweteka hakufanya maandalizi yao ya kutosha kama wanavyofanyaga wakicheza kwa Mkapa. Kuhusu kufungwa magoli mengi away hilo ni tatizo kwa Simba hasa wakicheza na timu inayojua kucheza mpira wa kasi na wa nguvu wanapoteana.
usinidanganye mkuu, kwa UD songo simba hakupata matokeo mazuri ugenini, bali alitoa sare tasa, To Yani 0-0.. akaja hapa akatoa 1-1
 
Hawa ndio wachambuzi uchwara wa soka!! Hakuna tofauti kubwa kati ya hatua ya makundi na mtoano kwa sababu mfumo ni huo huo wa kucheza nyumbani na ugenini!! Hawa wachambuzi uchwara wanataka kutusmbia kuwa ukicheza na TP Mazembe kwa mfano hatua ya makundi utaimudu lakini ukicheza na timu hiyo hiyo hatua ya mtoano hutaiweza! Wachezaji ni wale wale, timu ni zile zile na viwanja ni vile vile, kilichobadilika ni hatua tu mwanzo ilikuwa makundi na Sasa ni mtoano!
Hawa wachambuzi uchwara wanasahau kuwa kabla ya hatua ya makundi huwa ni hatua ya mtoano! Kama Simba hawezi mtoano angefikiaje hatua ya makundi?
Ila hao ndio wachambuzi wetu, nimesema kwenye Uzi mwingine kuwa Hawa wachambuzi sifa yao kuu ni kuwa wanamiliki mdomo!!
muulize mamelod anajua utofuti kati ya mechi za makundi na mtoano..
 
Na mwisho wao umefika kwa mara nyingine tena, Wakina horoya awapo tena safari hii ni uwezo uwezo uwezo uwezo nimetamka mara 3, Utasonga mbele kwa uwezo wako, kikosi bora, benchi la ufundi bora na sio vinginevyo, wale wazee pale kwenye safu ya ulinzi watatema nyongo safari hii
 
Mchambuzi wa michezo kutoka Wasafi Fm, George Job amesema klabu ya Simba bado haijajiandaa vema katika mechi za mtoano.

Kikosi cha Simba ilkinaweza kupambana vizuri kwenye mechi za makundi ila linapokuja suala la mechi mbili za mtoano hapo ndipo ulipo mtihani kwa Simba SC.

Kwa kauli hiyo ni wazi George Job anaona kabisa kuwa Simba inaenda kutolewa na Orlando Pirates.

View attachment 2186055

View attachment 2186056
Haiwezi au inakutana na wenye uwezo kuizidi?

Uwezo wa Simba unagota robo fainali ,huwezi ingia nusu Kwa kutegemea mchezaji mmja Chama..
 
Ukiondoa ushabiki george job amesema kweli timu ya msimu huu tia maji away msimu uliopita ndio ulikua mzuri sana …Kocha wetu huyu anabebwa na wachezaji pale hamna kocha msimu ujao kufika mbali tunahitaji kocha anaeeleweka yeye kila siku kulalamika viwanja hana plan B ?
Misimu yote hakuna Timu ya nusu fainali hapo na hivi kamaliza wa pili inamaana atacheza na mojawapo ya kina Mamelod,Raja,Esperance,na vigogo wengine.
 
Na mwisho wao umefika kwa mara nyingine tena, Wakina horoya awapo tena safari hii ni uwezo uwezo uwezo uwezo nimetamka mara 3, Utasonga mbele kwa uwezo wako, kikosi bora, benchi la ufundi bora na sio vinginevyo, wale wazee pale kwenye safu ya ulinzi watatema nyongo safari hii
Kuna kombe la waliofeli ndilo Yanga anacheza.

Mpe mnyama heshima yake!
 
Back
Top Bottom