George Mpole akampatie kile kiatu Fiston Mayele

Naunga mkono hoja.....Kama atabisha naagiza task force itumike ..

Kikosi cha expendable, SWATT, FSB & MOSSAD vitumike
 
Kazi ya mfalme Kario hiyo
 
Naunga mkono hoja ni uhuni tu ulifanyika na huyo mpole akigoma nitumwe mimi au itumwe task force imnyang'anye kinguvu
 
Naunga mkono huu uzi. Kama kuna atakayebisha basi aangalie takwimu ya magoli ya Mayele kuifunga timu yake
 

Attachments

  • Yele15.jpeg
    91.6 KB · Views: 2
Unajidai humuoni Phiri...

Wacha kukariri dogo.
 

Najua kwa George Mpole, bado ana mengi ya kujifunza kwa huyo Mayele.
 
Hahaha uto bhana, kwa kiungo kile cha yanga angekuwa Mpole ndio anacheza pale yanga angepiga goli 30 kwenda mbele. Endeleeni kulipamba galasa lenu
 
Uko sahihi mkuu Mayele alistahili kile kiatu Ila figusu ni nyingi hapa Bongo... Ila mwaka huu kazi wanayo
 
Naunga mkono hoja.....Kama atabisha naagiza task force itumike ..

Kikosi cha expendable, SWATT, FSB & MOSSAD vitumike
Vikosi vyote hivyo kwa ajili ya magoli 10 kwel??? Watu wanamaliza msimu na magoli 17 huko 20huko ndo wampe mtu aliye maliza na magoli 10. Akhaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…