George Soros yule mzee wa Kiyahudi ambaye ndiye mmiliki wa open society amefunga na kuondoa funding kwenye Open Society jambo lililopeleka ofisi nyingi ikiwemo ya Nairobi kufungwa, kwa wasiomfahamu George Soros ndiye mdhamini wa mapinduzi Duniani kote kuanzia color revolution North Afrika mpaka Ukraine na USA, ndiye mfadhili mkuu wa chadema na CCM iliyopo pia β¦
George Soros mfadhili wa ccm na chadema
View attachment 2798734
UVCCM mtaanza lini kuandika habari kamili?George Soros yule mzee wa Kiyahudi ambaye ndiye mmiliki wa open society amefunga na kuondoa funding kwenye Open Society jambo lililopeleka ofisi nyingi ikiwemo ya Nairobi kufungwa, kwa wasiomfahamu George Soros ndiye mdhamini wa mapinduzi Duniani kote kuanzia color revolution North Afrika mpaka Ukraine na USA, ndiye mfadhili mkuu wa chadema na CCM iliyopo pia β¦
George Soros mfadhili wa ccm na chadema
View attachment 2798734
Kwani Wayahudi siyo Wazungu? πUhusiano wa CCM, Chadema na huyo mzee ni wa namna gani mbona ulichoandika hakieleweki!!
Halafu huyu mzungu uyahudi kaupataje?
Ukiwa makini utaiona tu tofauti ya kimuonekano mkuu. Waarabu wamepigwa kitu kizito na kina Netanyahu wa Uingereza πππKwani Wayahudi siyo Wazungu? π