Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
- #21
kama George FloydWazungu wamewau kwa mateso sana kina George weusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama George FloydWazungu wamewau kwa mateso sana kina George weusi
🤣🤣🤣🤣Ukipata demu wa kizungu pita hadi na marinda tu hamna namna
Angalia hii movieView attachment 1691754
hata sku moja haijawahi tokeaMzungu hakuwai kuwa mwema kwa mtu mweusi.
inatia simanziAisee..huruma Sana
dadeqWazungu wanoko sana, Shezi hawa
asante kwa kutujuza🙏...binafsi nlikuwa sjuiHii story kilichonivutia zaidi ni namba aliyopewa hapo gerezani 260. 260 mnake ni 26 namba kwa numerology hiyo ni namba 8 na katika tarrots deck namba nane ina represents Deaths. Kwa kupewa hiyo namba tu Alisha nyongwa tayari hata kabla ya tukio.
Hueleweki na wewe..mara 260 mara 26 mara 8... Zinahsiana nnHii story kilichonivutia zaidi ni namba aliyopewa hapo gerezani 260. 260 mnake ni 26 namba kwa numerology hiyo ni namba 8 na katika tarrots deck namba nane ina represents Deaths. Kwa kupewa hiyo namba tu Alisha nyongwa tayari hata kabla ya tukio.
😂😂😂😂Hueleweki na wewe..mara 260 mara 26 mara 8... Zinahsiana nn
Hueleweki na wewe..mara 260 mara 26 mara 8... Zinahsiana nn
naona mkuu umeamua umjibuSipo kwa ajili ya kuelewesha vitu vingine sio darasani mkuu. Na sio lazima ujue vitakuharibia mfumo wako wa maisha.
Hii story kilichonivutia zaidi ni namba aliyopewa hapo gerezani 260. 260 mnake ni 26 namba kwa numerology hiyo ni namba 8 na katika tarrots deck namba nane ina represents Deaths. Kwa kupewa hiyo namba tu Alisha nyongwa tayari hata kabla ya tuki
Hawajamzidi Beberu Mweusi mchatuDah hii story uwaga inaniumiza sana jinsi mabeberu ya livyokuwa makatiri.
Kuna movie yake kabisa inaitwa Carolina Skeletons inakaribia masaa mawili dah ni kisa kirefu sana, ila yule dogo muuaji kwel baadae alikuja kujulikanaHii story angalia clip yake lazima macho yalegee kwa machozi hiyo heading ingia nayo youtube.
Hawa weupe sijui hasa kwa nini wanatuchukulia vile wanatuchukulia. Nini kinyume na chuki dhidi ya mweusi
ndo hivyo mkuuHii story angalia clip yake lazima macho yalegee kwa machozi hiyo heading ingia nayo youtube.
Hawa weupe sijui hasa kwa nini wanatuchukulia vile wanatuchukulia. Nini kinyume na chuki dhidi ya mweusi
hatari sanaKuna movie yake kabisa inaitwa Carolina Skeletons inakaribia masaa mawili dah ni kisa kirefu sana, ila yule dogo muuaji kwel baadae alikuja kujulikana
Na kuna kisa kingine kama hiki zaman hizo kuna dogo wa mzungu alimuua mtoto mwingine wa kizungu alaf mtoto wa mweusi akasingiziwa na akahukumiwa kifo, baadae ile familia walikata rufaa wakashinda wakalipwa pesa nyingi alaf ilipita miaka kama 40 hivi kushinda hiyo rufaa😥 wakasema wanataka muuaji nae auwawe wazungu hawakumuua hadi leo
so sad